Kiboko ya wezi wa simu

Kiboko ya wezi wa simu

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Je umekuwa ukihangaika ulinde vipi simu yako kuepuka wezi wanaokata madirisha usiku wakati umelala. Pengine hukujua tu lakini play store zipo apps nyingi za anti theft. App hizi zinatofautiana uwezo kutokana na developer aim, hapa ntaelezea baadhi ya sifa za hizo app;

1. charger unplugged. Kama wewe unapenda kuchaji simu wakati wa usiku basi app yenye hii feature inakufaa. ikiwa set itapiga kelele ya alarm pale tu chaja italapochomolewa. Ni nzuri pia kwa kuchaj simu maeneo ya public kama baa nk.

2. anti-pickpocket- feature hii hufanya kazi kwa ku sense kiasi cha mwanga katika sensor ya mbele ya simu. simu inapokuwa mfukoni huripoti giza na hivyo app hujua simu ipo na mmiliki. Ikitokea mtu akaitoa mfukon kiwizi basi simu itapiga alarm mara 1 na kumkamatisha mwizi. Alarm huzima pale tu unapoweka password ya app hii.

3. anti-movement. hii inatumika pale unapohitaj simu yako isiguswe na mtu. app itaruhusu alarm pale simu inapopatwa mtikisiko kidogo unaoashiria inaondolewa mahali uliopoiweka. hivyo kama unalala na simu unaweka mezani basi mwizi atakapojaribu kuichukua itapiga kelele na haitazima mpaka password iwekwe.

MUHIMU:

Sifa zote hapo hu override screen ya simu yako na kuzuia matumizi ya simu mpaka tu password sahihi itapowekwa.
 
Je umekuwa ukihangaika ulinde vipi simu yako kuepuka wezi wanaokata madirisha usiku wakati umelala. Pengine hukujua tu lakini play store zipo apps nyingi za anti theft. App hizi zinatofautiana uwezo kutokana na developer aim, hapa ntaelezea baadhi ya sifa za hizo app;
1. charger unplugged. Kama wewe unapenda kuchaji simu wakati wa usiku basi app yenye hii feature inakufaa. ikiwa set itapiga kelele ya alarm pale tu chaja italapochomolewa. Ni nzuri pia kwa kuchaj simu maeneo ya public kama baa nk.
2. anti-pickpocket- feature hii hufanya kazi kwa ku sense kiasi cha mwanga katika sensor ya mbele ya simu. simu inapokuwa mfukoni huripoti giza na hivyo app hujua simu ipo na mmiliki. Ikitokea mtu akaitoa mfukon kiwizi basi simu itapiga alarm mara 1 na kumkamatisha mwizi. Alarm huzima pale tu unapoweka password ya app hii.
3. anti-movement. hii inatumika pale unapohitaj simu yako isiguswe na mtu. app itaruhusu alarm pale simu inapopatwa mtikisiko kidogo unaoashiria inaondolewa mahali uliopoiweka. hivyo kama unalala na simu unaweka mezani basi mwizi atakapojaribu kuichukua itapiga kelele na haitazima mpaka password iwekwe.
MUHIMU: sifa zote hapo hu override screen ya simu yako na kuzuia matumizi ya simu mpaka tu password sahihi itapowekwa.
Asante.

Ila nilikua naomba utuwekee icon zake ili tuzijue na tuzipakue, make ziko nyingi.
 
Tatizo la wale wasng hua wanakuja na mbinu mbadala, kuna ile wanaita nusu kaputi wakipiga ile unaweza ukalala hadi kesho kutwa kama hakuna mdau wakukustua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Et "kama hakuna mdau wa kukushtua"
 
Je umekuwa ukihangaika ulinde vipi simu yako kuepuka wezi wanaokata madirisha usiku wakati umelala. Pengine hukujua tu lakini play store zipo apps nyingi za anti theft. App hizi zinatofautiana uwezo kutokana na developer aim, hapa ntaelezea baadhi ya sifa za hizo app;

1. charger unplugged. Kama wewe unapenda kuchaji simu wakati wa usiku basi app yenye hii feature inakufaa. ikiwa set itapiga kelele ya alarm pale tu chaja italapochomolewa. Ni nzuri pia kwa kuchaj simu maeneo ya public kama baa nk.

2. anti-pickpocket- feature hii hufanya kazi kwa ku sense kiasi cha mwanga katika sensor ya mbele ya simu. simu inapokuwa mfukoni huripoti giza na hivyo app hujua simu ipo na mmiliki. Ikitokea mtu akaitoa mfukon kiwizi basi simu itapiga alarm mara 1 na kumkamatisha mwizi. Alarm huzima pale tu unapoweka password ya app hii.

3. anti-movement. hii inatumika pale unapohitaj simu yako isiguswe na mtu. app itaruhusu alarm pale simu inapopatwa mtikisiko kidogo unaoashiria inaondolewa mahali uliopoiweka. hivyo kama unalala na simu unaweka mezani basi mwizi atakapojaribu kuichukua itapiga kelele na haitazima mpaka password iwekwe.

MUHIMU:

Sifa zote hapo hu override screen ya simu yako na kuzuia matumizi ya simu mpaka tu password sahihi itapowekwa.
Hapo kwenye antipocket, yenyewe itajuaje anayetoa kwenye mfuko ni mmiliki na sio kibaka?
 
Hapo kwenye antipocket, yenyewe itajuaje anayetoa kwenye mfuko ni mmiliki na sio kibaka?
Simu haina uwezo wa kujua ila wewe na mwizi mmoja wenu atakuwa anajua hivyo utachukukua tahadhali namna ya kuitoa aidha kwa kuziba sensor na kidole, kitu ambacho mwizi hawezi kufanya.
 
Ina maana hata mmiliki akiitoa mfukoni itapiga kelele pia...!
Sure, lakini mmiliki atakuwa anajua PIN ya kuizina tofauti na mwizi ambae kwanza itampanikisha hivyo anaweza akaishia kupagawa na kukamatika.
 
Asante.

Ila nilikua naomba utuwekee icon zake ili tuzijue na tuzipakue, make ziko nyingi.
app zipo nyingi play store mkuu, ila kma unataka mrejeo hiyo hapo ambayo n miongoni mwa nilizozifanyia majaribio.

Screenshot_20210830-070922.png
 
Tatizo la wale wasng hua wanakuja na mbinu mbadala, kuna ile wanaita nusu kaputi wakipiga ile unaweza ukalala hadi kesho kutwa kama hakuna mdau wakukustua
Sasa mbinu ile mbadala wake ni maji,kama unaishi maeneo ambayo unahisi kuna michezo hiyo hakikisha kama una ndoo ya maji unaiwacha wazi japo kidogo ili wakipuliza dawa zao ione pa kuelekea badala ya kukulaza,hahahaah
 
Je umekuwa ukihangaika ulinde vipi simu yako kuepuka wezi wanaokata madirisha usiku wakati umelala. Pengine hukujua tu lakini play store zipo apps nyingi za anti theft. App hizi zinatofautiana uwezo kutokana na developer aim, hapa ntaelezea baadhi ya sifa za hizo app;

1. charger unplugged. Kama wewe unapenda kuchaji simu wakati wa usiku basi app yenye hii feature inakufaa. ikiwa set itapiga kelele ya alarm pale tu chaja italapochomolewa. Ni nzuri pia kwa kuchaj simu maeneo ya public kama baa nk.

2. anti-pickpocket- feature hii hufanya kazi kwa ku sense kiasi cha mwanga katika sensor ya mbele ya simu. simu inapokuwa mfukoni huripoti giza na hivyo app hujua simu ipo na mmiliki. Ikitokea mtu akaitoa mfukon kiwizi basi simu itapiga alarm mara 1 na kumkamatisha mwizi. Alarm huzima pale tu unapoweka password ya app hii.

3. anti-movement. hii inatumika pale unapohitaj simu yako isiguswe na mtu. app itaruhusu alarm pale simu inapopatwa mtikisiko kidogo unaoashiria inaondolewa mahali uliopoiweka. hivyo kama unalala na simu unaweka mezani basi mwizi atakapojaribu kuichukua itapiga kelele na haitazima mpaka password iwekwe.

MUHIMU:

Sifa zote hapo hu override screen ya simu yako na kuzuia matumizi ya simu mpaka tu password sahihi itapowekwa.
Mkuu, mimi huwa napenda kuchaji simu ikiwa imezimwa. Kwa style hiyo, inaweza kupiga alarm?
 
Vp kama mwizi akabonyeza button ya power off wakat alarm ikilia? Cm si itazima?
 
Back
Top Bottom