Kiboko yangu ni moto wa kuotea mbali, mji mzima unatikisika

Kiboko yangu ni moto wa kuotea mbali, mji mzima unatikisika

Ududu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
1,020
Reaction score
556
Ni kolabo la mafundi wawili wa muziki Tanzania Mwana Fa na Alli kiba katika hii nyimbo inayoitwa kiboko yangu.Hakika Ng'ombe hazeeki maini na kwa mbali naona heshima ya bongo flavour inarudi kwa kasi baada ya kuharibiwa na kina nainai na vitorondo a.k.a wababaishaji.
Hakika hizi ndio nyimbo tunazozihitaji na si zile za kuelezea kisa na mikasa ya kishenzi.

Sijui wewe nwenzangu unaizungumziaje hii nyimbo ya kiboko yangu?
"keeping good music alive"that is your job FA!!!
 
Weka link nidaunlod unajua siku hizi mi sipo kivile na mziki bongo fleva ndo kabisa
juzi tu hapa ndo nimejua kwamba fa alikua ana nyimbo inaitwa mfalme baada ya kutoka kiboko yangu
 
Weka hiyo link bwana mwanzo mkito ilizingua
 
Weka link nidaunlod unajua siku hizi mi sipo kivile na mziki bongo fleva ndo kabisa
juzi tu hapa ndo nimejua kwamba fa alikua ana nyimbo inaitwa mfalme baada ya kutoka kiboko yangu

Nitajitahidi Mkuu ni wimbo safi kwa masikio yako.
 
Lulu Jana kamwambia mchizi wake live eti amuimbie kiboko yangu ya Fa na kiba
 
Back
Top Bottom