Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mmmh bado sijaona point yako, sidhani kama mda wote anakuwa sahihi japokuwa ni mtangazaji mzuri ila ana matatizo ya kuropoka tu, sidhani kama watu wote wote watakuwa wanamponda with no reason..ana mapungufu yake
Anaropoka sana kama mwanamke....
Kibonde nguli w taaluma y habari nchi gani? Au malawi nini mana kazi yke kuropoka 2 anajiona yeye ndio yeye, wakati yko mtaa hana job alikua m2 poa sana bt nw anaishi kwa kuropoka 2
Ukiandika kwa ufasaha utapungukiwa nini!!!
Ntajisahishaa ondoa shaka
Kupenda sifa na kujifanya kila kitu anajua ndiyo maana anaropoka ropoka ovyo.
Anasauti nyororo afu nadhifu, umeiona point au bado????
Huyo naye atakuwa ana yake ya ziada binamu sio bure, kibonde na unyororo wapi na wapi, shauri zake..
Wino utamuishia labda..Ukiandika kwa ufasaha utapungukiwa nini!!!
Wino utamuishia labda..
"Nlikuwepo":bolt:
Nilidhani unasema mlisoma wote UDSM ningekidharau kabisa hiko chuo kuanzia leo, by the way nimekumbuka huyu alipata division four kwahiyo malango ya pale UDSM ataishia kuyaona kwenye tv tu, maana hata midahalo ya Nkrumah hall hana gutts za kutia pua yake.Sauti yake ni nyororo Mhhhhhhhhhhhh
aache uropokaji,nakumbuka enzi nasoma UDSM alivyosemga mbovu mbofu
nimekumbuka zile moments acha kabisa kesho yake kwenye jahazi akawa mpole
Nilidhani unasema mlisoma wote UDSM ningekidharau kabisa hiko chuo kuanzia leo, by the way nimekumbuka huyu alipata division four kwahiyo malango ya pale UDSM ataishia kuyaona kwenye tv tu, maana hata midahalo ya Nkrumah hall hana gutts za kutia pua yake.
Ujanja mwingi mbele kiza hana lolote huyu bwegge na kinachombeba hapa ni vile amekulia Upanga na watoto wakishuwa wengi ndio wamekamata channel hapa mjini, hivyo zikitokea fursa za kazi ya kupiga porojo za umc lazima wampe childhood wao na kinachomcost hana elimu otherwise angeshapasiwa pande na kuwa na kazi ya maana tu hapa town badala ya ile ya kujichekesha kwa Rugehahaa nakumbuka watu walibandika hadi results zake pale
pale ndo nilijua mengi kuhusu huyu mjamaa
Nimefuatilia mienendo ya baadhi ya wanaJF humu ndani wakimsengenya huyu nguli wa taaluma ya habari bila sababu za kisomi.kwa kuwa tu anatofutiana nao katika misimamo ya kisiasa.
Kwa mfano leo hii muda huu anafanya kwa usadi mkubwa kazi ya MC katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Dar kwenye mkutano wa wadau wa PSPF.
Huyu bwana ni mfano wa kuigwa kwani ni nadhifu,sauti yake nyororo na yko makini kwa kazi yake.
Hili naamini limemfurahisha hata Mzee Mwinyi ambaye ni mgeni rasmi
Anasauti nyororo afu nadhifu, umeiona point au bado????