Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Aijalishi utafukuzwa ama umestaafu zi mbaya kuendeleza kipaji chako ukiwa uzeeni
mh kibonde nimesikia sauti na unavyoimba taarabu leo kwa kweli una kipaji cha taarabu
si mbaya ukimaliza kazi kwa kustaafu ama kufukuzwa clouds sikuombe mbaya maana akuna alieandikwa
kukalia hiko kiti chako milele uliza ma dj na waandshi walioanza na clouds wako wapi
nakutakia kiwango chema nikiamini haya hutoweza shidwa kuunyanyua vidole juu kama mipasho isemavyo
mh kibonde nimesikia sauti na unavyoimba taarabu leo kwa kweli una kipaji cha taarabu
si mbaya ukimaliza kazi kwa kustaafu ama kufukuzwa clouds sikuombe mbaya maana akuna alieandikwa
kukalia hiko kiti chako milele uliza ma dj na waandshi walioanza na clouds wako wapi
nakutakia kiwango chema nikiamini haya hutoweza shidwa kuunyanyua vidole juu kama mipasho isemavyo