DOKEZO Kibondo: Pamoja na kupitisha vikundi 7 kata ya Kibondo Mjini kupokea mikopo ya Mama Samia, kikundi kimoja pekee ndio kimepewa

DOKEZO Kibondo: Pamoja na kupitisha vikundi 7 kata ya Kibondo Mjini kupokea mikopo ya Mama Samia, kikundi kimoja pekee ndio kimepewa

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
MALALAMIKO HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

Mikopo ya Mama Samia vilipitishwa vikundi saba kata ya Kibondo Mjini waliitwa wakapewa na semina, wakapiga Picha na kushikishwa mabango kwamba wamepokea pesa lakini cha ajabu pesa wamepewa kikundi kimoja na penyewe cha watu wenye uwezo( wauza nyama) lakini walalahoi wametumia gharama na muda lakini wameachwa kwenye mataa.

Tunaomba mzifikishe kwenye mamlaka husika
 
Hii ni ishara ya mazingira ya rushwa na upendeleo katika usimamizi wa mikopo. Ni matumizi mabaya ya madaraka ambapo wenye uwezo wanapendelewa huku walengwa halisi wakiachwa. Uwajibikaji na uwazi vinahitajika ili kuzuia udanganyifu kama huu na kuhakikisha haki inatendeka kwa wote.
 
Back
Top Bottom