political monger senior
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 1,827
- 5,994
Feisal: Nisaini wapi?
Boss: Hapa! Saini hapa!
Feisal: Hapa walipoandika 50,000$ per month? Yaani nisaini mkataba wa mwezi mmoja tu?
Boss: We Fei, Saini hapa chini. Hiyo 50,000$ ndo mshahara wako Kwa mwezi
Feisal: (Kwa ukali) yaani mnanisainisha mkataba wa elfu hamsini Kwa mwezi? Si bora nikaendelee kula ugali na sukari JANGWANI
Boss: (akiwa ameduwaa) hiyo 50,000 ni dollar za kimarekani
Feisal: Kwani mnanipeleka Marekani au chamazi!! Mbona mnaniletea umafia Tena
Boss: (kimoyomoyo) Huyu kabla hajaanza kucheza itabidi apelekwe English course kwanza
Boss: Hapa! Saini hapa!
Feisal: Hapa walipoandika 50,000$ per month? Yaani nisaini mkataba wa mwezi mmoja tu?
Boss: We Fei, Saini hapa chini. Hiyo 50,000$ ndo mshahara wako Kwa mwezi
Feisal: (Kwa ukali) yaani mnanisainisha mkataba wa elfu hamsini Kwa mwezi? Si bora nikaendelee kula ugali na sukari JANGWANI
Boss: (akiwa ameduwaa) hiyo 50,000 ni dollar za kimarekani
Feisal: Kwani mnanipeleka Marekani au chamazi!! Mbona mnaniletea umafia Tena
Boss: (kimoyomoyo) Huyu kabla hajaanza kucheza itabidi apelekwe English course kwanza