political monger senior JF-Expert Member Joined Nov 26, 2020 Posts 1,827 Reaction score 5,994 Jun 8, 2023 #1 Feisal: Nisaini wapi? Boss: Hapa! Saini hapa! Feisal: Hapa walipoandika 50,000$ per month? Yaani nisaini mkataba wa mwezi mmoja tu? Boss: We Fei, Saini hapa chini. Hiyo 50,000$ ndo mshahara wako Kwa mwezi Feisal: (Kwa ukali) yaani mnanisainisha mkataba wa elfu hamsini Kwa mwezi? Si bora nikaendelee kula ugali na sukari JANGWANI Boss: (akiwa ameduwaa) hiyo 50,000 ni dollar za kimarekani Feisal: Kwani mnanipeleka Marekani au chamazi!! Mbona mnaniletea umafia Tena Boss: (kimoyomoyo) Huyu kabla hajaanza kucheza itabidi apelekwe English course kwanza
Feisal: Nisaini wapi? Boss: Hapa! Saini hapa! Feisal: Hapa walipoandika 50,000$ per month? Yaani nisaini mkataba wa mwezi mmoja tu? Boss: We Fei, Saini hapa chini. Hiyo 50,000$ ndo mshahara wako Kwa mwezi Feisal: (Kwa ukali) yaani mnanisainisha mkataba wa elfu hamsini Kwa mwezi? Si bora nikaendelee kula ugali na sukari JANGWANI Boss: (akiwa ameduwaa) hiyo 50,000 ni dollar za kimarekani Feisal: Kwani mnanipeleka Marekani au chamazi!! Mbona mnaniletea umafia Tena Boss: (kimoyomoyo) Huyu kabla hajaanza kucheza itabidi apelekwe English course kwanza
M Machaare JF-Expert Member Joined Aug 11, 2022 Posts 821 Reaction score 2,021 Jun 8, 2023 #2 Mama anaupiga mwingi Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 Jun 8, 2023 #3 Wapemba wanajuana kwa Vilemba
valet de chambre JF-Expert Member Joined Mar 12, 2017 Posts 1,044 Reaction score 1,112 Jun 8, 2023 #5 Kila la heri na mshahara wa Dola 50000
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 8,542 Reaction score 18,340 Jun 8, 2023 #6 YANGA HAWALIPI PESA ZA WACHEZAJI VIZURI. DHURUMA ZIMEWAJAA.
Auto-Marvelt JF-Expert Member Joined Jul 13, 2019 Posts 1,653 Reaction score 3,336 Jun 9, 2023 #7 Azam sina imani nao kwenye issue ya makombe
Supercomputer JF-Expert Member Joined Feb 13, 2021 Posts 634 Reaction score 1,311 Jun 9, 2023 #8 Dola 50000 ni zaidi ya milioni 100 Hakuna timu bongo ya kumlipa mchezaji milioni 100 kwa mwezi All in all ni kibonzo
Dola 50000 ni zaidi ya milioni 100 Hakuna timu bongo ya kumlipa mchezaji milioni 100 kwa mwezi All in all ni kibonzo
Kitimoto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2012 Posts 6,941 Reaction score 7,808 Jun 9, 2023 #9 MO aondoke atuachie timu yetu, hasipoondoka tunasusia bidhaa zake tunahamia kwenye bidhaa za Azam