Kibonzo cha Kipanya: Baada ya msiba kuna ambao wanaibuka na kufungua midomo?

Kibonzo cha Kipanya: Baada ya msiba kuna ambao wanaibuka na kufungua midomo?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1622181286565.png

Kuna anae ongelea Ranch ya Taifa kuwa imekufa as if amerudi juzi kutoka Ughaibuni.
 
Job ndugai huyo....anachekaga chekaga km .....au Basi tu asije kunipiga bure maana yule mmmh
 
Kweli mambo hayakua shwari bali watu walizimwa midomo nakubebeshwa mizigo mikubwa isiyowahusu uku wengine Kama Lissu wakiponea kifo..........yuko wapi sasa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]washenzzz wale vijana sio wa kushindana nao kabisa...wana maneno makali hata risasi haioni ndani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😂😂😂njiwa hawatagi na kile banda kule porini vipi?
 
Back
Top Bottom