Kibonzo cha Kipanya leo ni kigumu kuelewa

Kibonzo cha Kipanya leo ni kigumu kuelewa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1631434616950.png
 
Kirahisi tu.. Kwamba wakati wamachinga wanaanza kufanya biashara zao barabarani, waliachwa sasa wamezowea itakuwa kazi kuwaondoa
Wamachinga waliachwa wafanye biashara kiholela ili kuwa turufu ya kura kwa CCM. Sasa tatizo kimeota mizizi na wanatafuta njia za mkato kulitatua.
 
Mti umeupanda mwenyewe umekuwa mkubwa unashtuka. Wamachinga waliwekwa kama mtaji wa kiasa wakati tatizo dogo wakaliacha na kupalia kabisa wenyewe kushtuka mti umezaa sasa shughuli kuukata.
 
Kila mtaa kitolewe kiwanja kwaajili ya machinga. Wa design ghorofa yenye vizimba, vyoo na ofisi za utawala. Msiwapeleke mbali.
 
Mimi naona huo mti ulipokuwa mdogo ulikuwa Ccm(kijani) sasa umekuwa ni Cdm(kaki)
 
Sio wamachinga tu,ukipita manzese serevice road hazipo zimekuwa eneo la biashara.Hii imekuwa kero sana na nilijisemea mwenyewe zamani kuwa wanaachwa lakini wataigeuza kuwa haki yao hapo baadaye.Sasa baadaye ile niliyofikiria ipo mbali imefika!
 
Back
Top Bottom