Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kirahisi tu.. Kwamba wakati wamachinga wanaanza kufanya biashara zao barabarani, waliachwa sasa wamezowea itakuwa kazi kuwaondoa
Waliupalilia wenyewe leo wanauogopa
Wamachinga waliachwa wafanye biashara kiholela ili kuwa turufu ya kura kwa CCM. Sasa tatizo kimeota mizizi na wanatafuta njia za mkato kulitatua.Kirahisi tu.. Kwamba wakati wamachinga wanaanza kufanya biashara zao barabarani, waliachwa sasa wamezowea itakuwa kazi kuwaondoa
Kwanza kalikuwa kamti kidogo tu na unakojolewa sasa umekuwa mbuyu na matawi kibao kazi wanayo baraza la mji
Kuna uwezekano pia haukojolei bali ameshika chupa ya maji anaumwagilia.Mmea ukiukojolea si unauua....!!ujaelewa nn apo mkuu
Kwani mmea unahitaji nini!? usikute unahitaji mkojo ili ushamiri..!!! Kwamba content za mkojo zikaufanya ustawi haswaa...!!Mmea ukiukojolea si unauua....!!ujaelewa nn apo mkuu
Kirahisi tu.. Kwamba wakati wamachinga wanaanza kufanya biashara zao barabarani, waliachwa sasa wamezowea itakuwa kazi kuwaondoa