Kibonzo cha Kipanya TRA walinyanyasa wageni nyumbani, sasa mama anaangalia

Kibonzo cha Kipanya TRA walinyanyasa wageni nyumbani, sasa mama anaangalia

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
1617772153896.png
 
Maneno matupu ni changa la macho!Mgeni anapaswa kulindwa kwa kutumia sheria na wala siyo maneno matupu kwa sababu nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.
 
Masoud ni mtangazaji mwenye Iq kubwa bongo kushinda wote kwenye mainstream media..katuni zake zinathibitisha hili.
 
Back
Top Bottom