Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba mpya itakua mwisho wa kukabidhiana mahekalu, nani anaependa kujichimbia kaburi lake mwenyewe?Lazima waigope Best kwani wanajua Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ndiyo KIAMA chao watapotea milele katika anga ya siasa za Tanzania hivyo ni bora waendelee kufanya uharamia wao na ujambazi wa kutisha ikiwemo mauaji kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi ili kung’ang’ania madarakani. Yule mama akademka eti Katiba Mpya tutasubiri sana! Sijui nani alimpa madaraka ya kuwa msemaji wetu Watanzania kuhusiana na katiba mpya.
Katiba mpya itakua mwisho wa kukabidhiana mahekalu, nani anaependa kujichimbia kaburi lake mwenyewe?
Huwa sipingi swala la Katiba mpya ila uzoefu wangu mimi binafsi kutokana na umri nilionao, umenionyesha kuwa nchi huwa haiongozwi na Katiba, bali kivnachohitajika kwanza ni discipline halafu Katiba nayo ndiyo sasa inafuataLazima waigope Best kwani wanajua Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ndiyo KIAMA chao watapotea milele katika anga ya siasa za Tanzania hivyo ni bora waendelee kufanya uharamia wao na ujambazi wa kutisha ikiwemo mauaji kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi ili kung’ang’ania madarakani.
Yule mama akademka eti Katiba Mpya tutasubiri sana! Sijui nani alimpa madaraka ya kuwa msemaji wetu Watanzania kuhusiana na katiba mpya.
sidhani mkuu kama katiba ndo tatizo la hii nchi,.Lazima waigope Best kwani wanajua Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi ndiyo KIAMA chao watapotea milele katika anga ya siasa za Tanzania hivyo ni bora waendelee kufanya uharamia wao na ujambazi wa kutisha ikiwemo mauaji kupitia polisiccm na Tume FAKE ya uchaguzi ili kung’ang’ania madarakani.
Yule mama akademka eti Katiba Mpya tutasubiri sana! Sijui nani alimpa madaraka ya kuwa msemaji wetu Watanzania kuhusiana na katiba mpya.
sidhani mkuu kama katiba ndo tatizo la hii nchi,.
kwa sababu hata hii iliyopo inavunjwa mchana kweupe na hakuna cha kufanya.
kuifuata katiba ndio tatizo.