Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natofautiana kidogo na wewe Mimi naona yey ndo namba 1 lakin pia 2,3 amezikanyaga hazifurukuti lkn kwa mbaaali ndani ya namba 1 Kuna ka mpasuko fulani kinaendeleaYaani hapo alimaanisha CCM hawashindani na yoyte wao ndio namba 1 ,2 na 3..yaani hakuna upinzani..
May beNatofautiana kidogo na wewe Mimi naona yey ndo namba 1 lakin pia 2,3 amezikanyaga hazifurukuti lkn kwa mbaaali ndani ya namba 1 Kuna ka mpasuko fulani kinaendelea
Zee la Tozo na muhimili ulioshindwa kusimamia kazi zake.
Hii ina make sense! Wameitia mihimili yote kambani😂!Anamaanisha mihimili yote ipo chini yake:-
1-Katiba
2-Bunge
3-Mahakama.