Kibonzo cha Noeli kutoka kwa Kipanya

Sinema za kijani za kuokota mpaka kichwa cha treni
 
Duuuh [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bahati mbaya hata hao viongozi wataamini na kukubali kwamba ni kweli kuna semina ya kutii sheria bila shuruti inaendelea humo..

Au ninasema uongo ndugu zangu?! Tupo pazuri.
tatizo huwa kubwa hapo.

mimi nakumbuka aliishakuja makamu wa rais mkoa fulani halafu kabla barabara ikaanza kuchongwa na tingatinga[emoji28][emoji28][emoji28]

nikawa nawaza,kwani huyo jamaa ni kiazi kiasi gani asijue vimefanywa aje aone tu[emoji23][emoji23]nashukuru kwa sasa watu kama majaliwa hawezi kukuchekea anakupa za uso.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…