Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Inafikirisha mno!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karamagi yupo pembeni ya mbowe, na slaa hayupo mbali,kama sijakosea!
Umewaona Slaa na Mbowe tu?!😂😂🔥Karamagi yupo pembeni ya mbowe, na slaa hayupo mbali,kama sijakosea!
"Katika siasa suala la kununuana lipo,wanasiasa wengi sio wajinga,wako zaidi kifaida na maslahi binafsi,huwa nawahurumia sana wafuasi wao,huwa hawajui mapichapicha yaliyopo Ndani yake!
Aisee.Inafikirisha mno! View attachment 2701136
Neno akili Africa linatumika visivyo.Vibonzolist wana akili sana hawa jamaa
Kwa hiyo uhakika wa kujaza ni majaliwa ya mwenyewe Mungu😭😭😭😭😭Duh
Huyo Mmanga aliyepiga magoti hapo chini ya tanki ndio nani? Shabiby au Abood? Rostam au Manji? Makolo FC au Utopolo FC 😂?
Duh
Huyo Mmanga aliyepiga magoti hapo chini ya tanki ndio nani? Shabiby au Abood? Rostam au Manji? Makolo FC au Utopolo FC [emoji23]?
Anatakiwa kuwa rost tamu (mpiga deal chafu)Duh
Huyo Mmanga aliyepiga magoti hapo chini ya tanki ndio nani? Shabiby au Abood? Rostam au Manji? Makolo FC au Utopolo FC 😂?
Hata haifikirishi....! Karamagi hapo nyuma anafanya nini? Karamagi hashusiki na mkataba wa kuuza ardhi ya Tanganyika. Yeye aliwekeza kwenye bandari tu, hakuomba kujimilikisha hata nukta ya ardhi ya Tanganyika. Hao Dada Poa wao wanataka wapewe haki ya kumiliki ardhi yote ya Tanganyika hadi makaburi, wanataka tukazikwe wapi?Inafikirisha mno! View attachment 2701136
Kibonzo kimechorwa na mtoto? HakifikirishiInafikirisha mno! View attachment 2701136
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi!Kwa hiyo uhakika wa kujaza ni majaliwa ya mwenyewe Mungu😭😭😭😭😭