uttoh2002 JF-Expert Member Joined Feb 3, 2012 Posts 17,060 Reaction score 32,400 Sep 4, 2021 #21 Pendael24 said: Dua la kuku bro! Click to expand... Haina shida; Nina uhakika huwa wanakufa Vibaya sana, angerudi mmoja angekuhadithia, wanakufa na maumivu sana!
Pendael24 said: Dua la kuku bro! Click to expand... Haina shida; Nina uhakika huwa wanakufa Vibaya sana, angerudi mmoja angekuhadithia, wanakufa na maumivu sana!
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,216 Reaction score 37,757 Sep 4, 2021 #23 mulwanaka said: Huna wakika au unadhani tu? Wana nchi wa Marikani wenyewe wanalalamika kuhusu hilo wewe unajiaminisha bure Click to expand... Weka hapa video za hizo ndege za US zikirushwa hewani na hao wataliban tuone kati ya mimi na wewe nani ni mpiga kabobo.
mulwanaka said: Huna wakika au unadhani tu? Wana nchi wa Marikani wenyewe wanalalamika kuhusu hilo wewe unajiaminisha bure Click to expand... Weka hapa video za hizo ndege za US zikirushwa hewani na hao wataliban tuone kati ya mimi na wewe nani ni mpiga kabobo.
wa kupuliza JF-Expert Member Joined Jun 15, 2012 Posts 15,216 Reaction score 37,757 Sep 4, 2021 #24 Juma1967 said: V8 View attachment 1923194 Click to expand... Wameingia cha kike waaaaaaaaaaaaaah
daraja la kigamboni JF-Expert Member Joined Apr 28, 2016 Posts 3,127 Reaction score 3,062 Sep 4, 2021 #25 Tusubiri ripoti ya CAG
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Oct 15, 2021 #26 Land cruiser mpyaaa
Kennedy JF-Expert Member Joined Dec 28, 2011 Posts 54,894 Reaction score 64,043 Oct 15, 2021 #27 Mlaleo said: Taleban wanafungua embassy yao lini? Click to expand... Hapa Tanzania?