Kuzibuliwa [emoji38][emoji38][emoji38]Ma RC, DC, DED nk wajiandae
Inaelekea kuna walioumizwa huko Dodoma, huoni damu hapo.Atumie hizo zana kutusafishia ugoro wote wa itikadi za magenge ya wasukuma na wanachatto.
Ikumbukwe kuna tofauti ya wasukuma au wanachatto na itikadi za upigaji zinazotambulishwa na majina hayo.
Mama aonyeshe nia tutamwunga mkono.
Inaelekea kuna walioumizwa huko Dodoma, huoni damu hapo.
Askofu Rashid amesha zinguliwa huko ujumbe wa NEC.