Kibonzo: Mwigulu Nchemba alaumiwe kwa yote ila tukubali kazi zake

Tanzania hapakuwa na Lockdown hivyo corona haikututikisa.

Pia vita ya Ukraine haikupiganwa ndani ya nchi yetu.

Baba wa family Kwa mfano, anawezaje kurudi nyumbani mikono mitupu na watoto wakimwambia tuna njaa, anaweza kuwajibu kuwa ni sababu ya vita ya Ukraine na corona akaeleweka?

Kama mmeshindwa kutatua changamoto za wananchi mjiuzulu.
 
Elimu bila koneksheni hamna kitu madelu kafanya jamaa yake achaguliwe tume ya uchaguzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…