Kibonzo: Posho ya kuhudhuria msiba Namibia

Kibonzo: Posho ya kuhudhuria msiba Namibia

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Upigaji kila fursa

0F64DEFE-F157-4B59-AECA-F975352178CF.jpeg
 
Na kwa viongozi wenye level ya ukurugenzi kuanzia tu safari za majiji per diem zao sio chini ya 250k je allowance yake akitoka nje ya nchi si itakuwa 500k
 
Isee sasa jamani na sisi wananchi tuna vijiba vya roho kwakweli sasa huko namibia tulitaka wawakilishi wanaenda huko waende bila posho wakati ndio utaratibu wa serikali yetu.
Namibia kuna tanga ndugu?siku mbili zingetosha upigaji kila pande ukiwa hujanufaika nao lazima ukuume ila na wewe ukiziotea unaona ni sawa kabisa na ni haki yako
 
Watu wanatumia fursa...
Ndo maana tunaotaabika nasi tukipata nafasi huwa tunasahau...na kuwaza upigaji Tu.
 
Back
Top Bottom