ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Isee sasa jamani na sisi wananchi tuna vijiba vya roho kwakweli sasa huko namibia tulitaka wawakilishi wanaenda huko waende bila posho wakati ndio utaratibu wa serikali yetu.Upigaji kila fursa
Namibia kuna tanga ndugu?siku mbili zingetosha upigaji kila pande ukiwa hujanufaika nao lazima ukuume ila na wewe ukiziotea unaona ni sawa kabisa na ni haki yakoIsee sasa jamani na sisi wananchi tuna vijiba vya roho kwakweli sasa huko namibia tulitaka wawakilishi wanaenda huko waende bila posho wakati ndio utaratibu wa serikali yetu.
poleπ
Asante,hivi ukiwa na diploma huwezi pesa hata ukuu wa wilaya mkuu?πpole
Ha ha.Asante,hivi ukiwa na diploma huwezi pesa hata ukuu wa wilaya mkuu?π