Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama inauma uchomoe .Shujaa ni refa.
Shujaa dubeShujaa ni refa.
Watapigwa rungu na CAF hao watatuliza mshono..wafanye hizo fitna tunazitaka point za bure za CAF..tutakua tunarekodi fitna zote kuanzia uwanja wa ndegeSimba wajiandae na fitna za kufa mtu wakienda Tunisia....injury time imetubeba sana
Wachawi wa utopolo waliacha kushikilia korodani wakijua muda umeisha!Shujaa ni refa.
Injury time ndio ilikuwa inacheza?Simba wajiandae na fitna za kufa mtu wakienda Tunisia....injury time imetubeba sana
hii sio golf mkuu, kwenye mpira muda pia ni muhimu!Injury time ndio ilikuwa inacheza?
Cha muhimu alama 3Shujaa ni refa.
Walivyokuwa wakilala usingizi unategemea waamshwe..piga umbwa hao.Shujaa ni refa.