Kibu Denis aibuka shujaa kwa Mkapa, CS Sfaxien wapagawa na kumpiga Refa dakika za jioni

Simba wajiandae na fitna za kufa mtu wakienda Tunisia....injury time imetubeba sana
 
Unaambiwa Hakuna ng'ombe asiyefaa, asipokufaa kwa kwa maziwa, atakufaa kwa mbolea, asipokufaa kwa kulimia wala kuzaa, atakuzaa hata xmass.
 
Simba wajiandae na fitna za kufa mtu wakienda Tunisia....injury time imetubeba sana
Watapigwa rungu na CAF hao watatuliza mshono..wafanye hizo fitna tunazitaka point za bure za CAF..tutakua tunarekodi fitna zote kuanzia uwanja wa ndege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…