Kibu Denis: Diarra angedaka ule mshale wangu hadi sasa angekua anajiuguza kwao Mali

Mkuu, Kwa wazawa kibu denis ni moja ya wachezaji bora sana. Tanzania tunawachezaji bora wachache sana.

Ukitaka kujua Kibu ni bora, angalia strength za kibu kama Kibu.
Hakuna Coach atakuja pale Simba akamkataa Kibu D, labda awe Kocha mzawa sababu anasikiliza maneno ya mtaa.
 
Huyu nae kubebwa na kocha tu ndege kumnyea mtu si shabaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…