Mkuu umerejea? Embu tia neno basi mkuu hapaSijawahi kuona huo uhatari wake.
Jamaa akaanzisha thread kabisa lakini mpaka leo hii ameikimbia haji tena. [emoji1][emoji1]Alianza kufananishwa na king FK Mayele,sasa amekuja George Mpole.
Yaani!! Mashabiki wa simba bwana[emoji3],kila Kibu Denis akishinda basi atafananishwa uwezo na straika ambaye anamzidi kila kitu.
Sawa bhana! Kupanga ni kuchagua.
Naunga mkono Howard. Mimi namuona kama center forward hivi kuliko winger.Naamini hili, ila abadilishiwe nafasi, kumtumia kama winga wa kulia ni kumkosea saana, naona anaoata tabu hata kidrible, kuingia nao ndani.
Kibu ni mchezaji wa hovyohovyo. Kila wakati anapoteza mipira. Anakaa na mpira muda mrefu bila sababu. Anapiga pasi mbovu na za uoga. Ana safari ndefu bado.
Mzamiru ni mfungaji tangu lini?Jana kapiga key passes ngapi ambazo mapopoma kina mzamilu na bocco wameshindwa kufunga. Kibu is a baller.
Mimi Ni shabiki wa mnyama, huyo jamaa anaemsifia kibu sizani Kama amewahi kucheza mpira, Tanzania kiuhalisia wachezaji wenye vipaji wapo wengi Sana kuliko hao tunaowaona, mfumo wetu wa kusaka vipaji Ni mbovu, mshambuliaji una footwork mbovu, ball control F, hata kumtoka Beki mmoja kazi ngumu halafu vyombo vya habari vinapiga propaganda tu, wanasifia watu ambao uwezo wao Ni mdogo, talent zipo Ila kibu sio mmojawapoo anacheza kwasababu anafanya mazoezi mpira tizi tunaita, wa kawaida sanaaMzamiru ni mfungaji tangu lini?
Kibu anapoteza sana mpira. Anakimbia bila plan. Anakabika kirahisi.