NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Ina maana Kibu Denis ni Bora sana kuliko Pape osumane sakho mchezaji anayeitwa kwenye kikosi Cha Taifa Senegal?
Robertinho ameona nini kwa Sakho mpaka aanzie bench na kumuamini Kibu Denis asiyejulikana hata anachezea timu gani ya Taifa?
Zile nyimbo tulizoimba mashabiki kuwa sakho ni chezaji la CAF Ina maana Robertinho kaja kutu prove wrong??
Tukisema kuwa sakho anaitwa Timu ya Taifa kwa mchongo wa mawakala wake ili wampe thamani sokoni anunuliwe kwa pesa kubwa (mchezaji ni bidhaa inayohitaji promo ili iuzike sokoni).
Kweli nimeamini Robertinho ni great thinker kaona kabisa Sakho Hana talanta ya kumzidi Kibu denis hata goli la CAF alibahatisha tu.
Robertinho ameona nini kwa Sakho mpaka aanzie bench na kumuamini Kibu Denis asiyejulikana hata anachezea timu gani ya Taifa?
Zile nyimbo tulizoimba mashabiki kuwa sakho ni chezaji la CAF Ina maana Robertinho kaja kutu prove wrong??
Tukisema kuwa sakho anaitwa Timu ya Taifa kwa mchongo wa mawakala wake ili wampe thamani sokoni anunuliwe kwa pesa kubwa (mchezaji ni bidhaa inayohitaji promo ili iuzike sokoni).
Kweli nimeamini Robertinho ni great thinker kaona kabisa Sakho Hana talanta ya kumzidi Kibu denis hata goli la CAF alibahatisha tu.