Kiungo mshambuliaji wa Simba Kibu Denis. Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benchi. Ondokana na ujinga huu.
Soma Pia:
Soma Pia:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi ona mwanasimba yoyote anamlilia zaidi ya viongozi ?Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benche . ONDOKANA NA UJINGA HUU
Alichelewa mazoezi ya misri hata hivyo hakuna ubaya ni bora wapinzani wasizijue silaha za maangamiziNikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benche . ONDOKANA NA UJINGA HUU
Hana kitu siku hizi zaidi ya kukimbia kimbia tu!! Aliojiroga kuidengulia simba!!Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benche . ONDOKANA NA UJINGA HUU
Kama hana kitu mbona kila akitaka kuondoka mnamng'ang'ania. Niseme katika Striker hapa Tz hakuna wa kumuweka Kibu bench. Na kwa wachezaji wazawa hakuna anayemfikia Kibu D. Sema tu hapendwi na media za bongo . Media za bongo zimempa promo sana Fei toto wakati ni mchezaji wa kawaida sana tuHana kitu siku hizi zaidi ya kukimbia kimbia tu!! Aliojiroga kuidengulia simba!!
Ronaldo tu anaanzia Benchi itakuwa Kibu Denis Tumia akili Kocha ndio mwenye utalaamu wa kuamua mchezaji gani aanze kulingana na aina ya mchezo wewe mpiga DEBE unataka kutupangia Acha ujingaKiungo mshambuliaji wa Simba Kibu Denis. Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benchi. Ondokana na ujinga huu.
Soma Pia:
Samahan kuna neno hapo umeandika " utalaamu" haiandikwi hivyo. Inaandikwa " utaalamu.Ronaldo tu anaanzia Benchi itakuwa Kibu Denis Tumia akili Kocha ndio mwenye utalaamu wa kuamua mchezaji gani aanze kulingana na aina ya mchezo wewe mpiga DEBE unataka kutupangia Acha ujinga
Kiungo mshambuliaji wa Simba Kibu Denis. Nikiangalia Simba yote naona hakuna striker wa kukuweka benchi. Ondokana na ujinga huu.
Soma Pia: