Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka

Kibu Denis wewe sio wa kuanzia benchi. Uamuzi sahihi ni kuondoka

Nyie takatxka ndio mnatumika kuivuruga Simba sc...hizi taka zinazo andikaga vithread kana hizi ni washabiki wa mgongo wazi
 
Kwa mpira wa wale Waarabu wa pasi nyingi zenye uwezo angalieni mechi ya pili msije mkaanza kuzuia nyumbani tena..yule Thiery Mahanzi ni jini sio mtu
 
Hana kitu siku hizi zaidi ya kukimbia kimbia tu!! Aliojiroga kuidengulia simba!!
Kama hana kitu mbona kila akitaka kuondoka mnamng'ang'ania. Niseme katika Striker hapa Tz hakuna wa kumuweka Kibu bench. Na kwa wachezaji wazawa hakuna anayemfikia Kibu D. Sema tu hapendwi na media za bongo . Media za bongo zimempa promo sana Fei toto wakati ni mchezaji wa kawaida sana tu
 
Ronaldo tu anaanzia Benchi itakuwa Kibu Denis Tumia akili Kocha ndio mwenye utalaamu wa kuamua mchezaji gani aanze kulingana na aina ya mchezo wewe mpiga DEBE unataka kutupangia Acha ujinga
Samahan kuna neno hapo umeandika " utalaamu" haiandikwi hivyo. Inaandikwa " utaalamu.

Umeniita Mjinga
 
Back
Top Bottom