Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kibu Dennis amebadilika sana, cjui kama hawa wageni watamweka benchi mwamba huyu aliyewanyamazisha Yanga msimu uliopita.
Hivi sasa ameshafunga mabao 2 kwenye mechi za kirafiki huko Ulaya, halafu yuko moto mno.
Ana nguvu mshkajj sio ya kawaida, akiweka mkonga wake lazima upasuke uso, ana mashuti sio ya kawaida, akiweka mpira mguuni huupokonyi.
Kibu kwa wale waliomuona mara ya mwisho akichezea Stars pale kwa mkapa aliupiga mwingi sana.
Kibu sasa hivi anatakiwa apewe sapoti tu ili akinukishe na mbrazil amemkubali sana, sana.
Hivi sasa ameshafunga mabao 2 kwenye mechi za kirafiki huko Ulaya, halafu yuko moto mno.
Ana nguvu mshkajj sio ya kawaida, akiweka mkonga wake lazima upasuke uso, ana mashuti sio ya kawaida, akiweka mpira mguuni huupokonyi.
Kibu kwa wale waliomuona mara ya mwisho akichezea Stars pale kwa mkapa aliupiga mwingi sana.
Kibu sasa hivi anatakiwa apewe sapoti tu ili akinukishe na mbrazil amemkubali sana, sana.