Kiburi ni shetani

Kiburi ni shetani

Kufa c mwiko

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
752
Reaction score
320
mwenyezi mungu kupitia maagizo yake ametuagiza kufanya kazi, ili maisha yetu ya kila siku yasonge unapofanya kazi kwa bidii anakupa neema(mafanikio)sasa hapa ndipo panapowashinda wanadamu wengi akipata akipewa hiyo neema anapata kiburi anasahau neema ni ya mungu, kiburi siku zote ni shetani na mungu ukomesha kiburi.
 
Back
Top Bottom