Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 599
Serikali ya CCM inaendelea kuboresha maisha ya watanzania kwa kuweka umeme vijijini na mjini.
Mwenye Macho hambiwiii Tazama ! Umeme Vijijini hauchagui Aina ya Nyumba ! Tunaamini Uwepo wa Umeme utachochea Mapinduzi ya Kifkra na Maendeleo Kwa Wananchi wetu Vijijini Udumu Serikali yetu ya CCM inayomuhudumia Mnyonge !
Mwenye Macho hambiwiii Tazama ! Umeme Vijijini hauchagui Aina ya Nyumba ! Tunaamini Uwepo wa Umeme utachochea Mapinduzi ya Kifkra na Maendeleo Kwa Wananchi wetu Vijijini Udumu Serikali yetu ya CCM inayomuhudumia Mnyonge !