Kibuti hiki ni balaa

pole ndo maisha hayo,lkn kama ungependa kufafanua zaidi ili tujue huenda kuna ulipokosea wewe au hata kama sio, ingetuwia rahisi kushauri
:grouphug:
 
pole sana,mapenzi yanaumiza,asikwambie mtu,mpaka likikukuta ndio unayajua maumivu yake,mimi yalishanikuta hayo.ila inategemea ulipenda vipi,na mmeachana kwa mazingira yepi.ila baadae kidonda cha maumivu,kitapona tu
 
tengo miedo..no probrema..i wl send t via msg wory nt!!!
mi naupendaga mgongo wako manake mi wangu upo km wa kenge nakwambia!!!!!
Ahahahaaaaah eti mgongo kama wa Kenge!LOL
 
Pole sana ilikuwaje kwani hadi yote haya yakakupata?
 
Pole sana mayenga, unahitaji kutulia ujipange upya usifanye maamuzi ya haraka kutafuta substitute. Mungu akutangulie na akutie nguvu
 




pole sana Mayenga , sasa umekuwa , muombe mungu akupe nguvu na akupe mwenza atakayekupenda kwa dhati.
 
.Washika pembe tumeachia."!!!!!!!!!!!

Duh pole mkuu yaani unahudumia alafu humegi? kibaya zaidi unakuta rafiki yako anamega wewe unasubili siku ya harusi dah inauma
 

Mwambie please give me last chance!wakati umevaa kimini kama mguu unao!:smiling:
 
tengo miedo..no probrema..i wl send t via msg wory nt!!!
mi naupendaga mgongo wako manake mi wangu upo km wa kenge nakwambia!!!!!

ha ha ha.....mimi huwa najipaka mawese, na pia nakula sana matembele na ngogwe.....hiyo ndio siri ya urembo bibie
 
Never let that lesson to slip away from you. It will make you grow strong. Maisha yetu yamesheheni maigizo makubwa kuliko ya hollywood, trust me. And in the end what matters is your happiness!!
 
Mi nasubiri kukaribishwa chai na viazi vitamu vya kukaanga ndio nichangie mada.
 


Pole sana kaka. Ila kuuliza si ujinga....ulibahatika kupata mtoto na huyo shemeji yetu???
 

Mh..maumivu ya kichwa huanza polepole..

Hebu elezea tatizo lako usaidiwe.
 
Mi nasubiri kukaribishwa chai na viazi vitamu vya kukaanga ndio nichangie mada.

wasiliana na Rose1980, lakini nakumbuka leo alisema anahitaji samaki wa kupaka bila shaka!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…