aya bwana karibu pakaMi nasubiri kukaribishwa chai na viazi vitamu vya kukaanga ndio nichangie mada.
wasiliana na Rose1980, lakini nakumbuka leo alisema anahitaji samaki wa kupaka bila shaka!!!
hongera sana shemeji, unajua kuchagua.......umenunua wapi vile.....na mie nimwagizie wangu
Asante shemeji preta.....ila kwenye bluu umenichanganya kidogo, unaagiza za kwako au za nani?? karibu PMhongera sana shemeji, unajua kuchagua.......umenunua wapi vile.....na mie nimwagizie wangu
pllllls preta mwambie roy deni langu lile vp jaman....???
mambo rose.....nimependa hereni zako
Tufanyaje sasa?nkutumie kwa blututh?viazi vitamuuuuuu mbwiga usipime leo kiporo nimekipumzisha keshooooooooooooooooooo kunako kiporo km kawa!!!
nyie uko asi udhunguni ..mablak coffee mchana mapiza sjui mahambagi haaaaaa aya bwana kulen mema ya nchi tu shetan yu mbion aja!!!!!!
yaani Rose jamani....unanimaliza kabisa.
ay
aya bwana karibu paka
doooooooooo viaz vmeisha paka wangu sa itakuwaje?
inawezekana ni kenge huyoAhahahaaaaah eti mgongo kama wa Kenge!LOL
Jibu hataki kulitoa??R1980 unavyovingi vya kumpa kama viazi vimeisha hata kitumbua kama si bumunda<b>Sawa mama nimekusikia lakini unavyo vingi pia vya kunikaribisha kama viazi vimeisha.</b>
Inategemea kama pakacha lenyewe linavuja maji yenye upupu kama ya ffu sibora lisivuje niendelee nauzito hulehule.Waswahili husema kuvuja kwa pakacha ni nafuu ya mchukuzi.................
Usijali huyo kapata mwengine kakudharau
"Sikuamini maneno niliyoyasikia kutoka kwako,lakini sasa naanza kuamini.Kweli mapenzi ni upofu kwenye akili yangu,sikulipa nafasi jambo kama hili,but it is too late,kilichobaki ni kuuguza madonda.Mola anisamehe na anitie nguvu,adhabu niliyonayo inatosha,ALL THE BEST.Washika pembe tumeachia."!!!!!!!!!!!