njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Lile jamaa libabe la mdomo na kutukana watu hovyohovyo limekula nyundo huko kinachosubiriwa ni kutangazwa rasmi licha ya njemba hilo kulialia kupitia kwa wanasiasa waliombee msamaha.... nitalipia graphics za hali ya juu kutambulisha habari hiyo ambapo nishaaongea na wataalamu kadhaa wa kazi hiyo na nitawalipa
Graphics hizo zenye ubunifu wa hali ya juu nishaandikia script , ngoja niwasimulie ilivyo...TIGHT CLOSE UP SHOT...(macho yenye weupe kama wa paul scholes au de bryune) yanaonekana yakitoa machozi...huku sauti inasikika ...jamani mimi nina familia msinifanyie hivyooooo...
Then camera pans Tight close up ya nywele za kisomali shot inahamia kwenye tumbo(kuubwa sana kitaambi plus plus) halafu mkononi njemba hilo limeshika pingu..sauti zinasikika asulubiwe asulubiwe
Hicho ni kionjo ...coming soon
Graphics hizo zenye ubunifu wa hali ya juu nishaandikia script , ngoja niwasimulie ilivyo...TIGHT CLOSE UP SHOT...(macho yenye weupe kama wa paul scholes au de bryune) yanaonekana yakitoa machozi...huku sauti inasikika ...jamani mimi nina familia msinifanyie hivyooooo...
Then camera pans Tight close up ya nywele za kisomali shot inahamia kwenye tumbo(kuubwa sana kitaambi plus plus) halafu mkononi njemba hilo limeshika pingu..sauti zinasikika asulubiwe asulubiwe
Hicho ni kionjo ...coming soon