KIBUYU KIMELIA TFF ANAHAHA KUTAFUTA HURUMA(nitatengenezea graphics)

KIBUYU KIMELIA TFF ANAHAHA KUTAFUTA HURUMA(nitatengenezea graphics)

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Lile jamaa libabe la mdomo na kutukana watu hovyohovyo limekula nyundo huko kinachosubiriwa ni kutangazwa rasmi licha ya njemba hilo kulialia kupitia kwa wanasiasa waliombee msamaha.... nitalipia graphics za hali ya juu kutambulisha habari hiyo ambapo nishaaongea na wataalamu kadhaa wa kazi hiyo na nitawalipa

Graphics hizo zenye ubunifu wa hali ya juu nishaandikia script , ngoja niwasimulie ilivyo...TIGHT CLOSE UP SHOT...(macho yenye weupe kama wa paul scholes au de bryune) yanaonekana yakitoa machozi...huku sauti inasikika ...jamani mimi nina familia msinifanyie hivyooooo...

Then camera pans Tight close up ya nywele za kisomali shot inahamia kwenye tumbo(kuubwa sana kitaambi plus plus) halafu mkononi njemba hilo limeshika pingu..sauti zinasikika asulubiwe asulubiwe

Hicho ni kionjo ...coming soon

za uso.JPG
 
Mmemchafua Babra wa taasisi yenu mkaona haitoshi bado mnakuja kuichafua taasisi ya kandanda. Aliyewaroga makolo anatupa tabu nasisi tusiostahili


MBUMBUMBU
 
Mmemchafua Babra wa taasisi yenu mkaona haitoshi bado mnakuja kuichafua taasisi ya kandanda. Aliyewaroga makolo anatupa tabu nasisi tusiostahili


MBUMBUMBU
makolo kwa kiswahili cha bakita ni wajomba, tafuteni jina jingine maana huwa mnayatengeneza nyie..ila lile la utopolo mlilojipa limekaa mahala pake..anyway kibuyukimelia bana kwani alhaji albino ni taasisi? au taasisi yenu ndo ilimtukana karia pale Uwanjani?
 
Hii habari mpaka iwe officially confirmed ndio nitaweza kuielewa
 
Utapata manufaa gani kwa kufungiwa kwake?
Kwa maslai ya soka na wadau wa aoka wanao dhihakiwa na mtuhumiwa kwa furaha yake binafsi na umaarufu wake wa dhihaka kwa wengine...lzm soka.liwe lina pigwa kiwanjan na sio dhihaka kwa wengine.....

Akifungiwa yy pia wengine wata amini mizania ipo sawa sawa yaan hakuna mkubwa wala mdogo



ASULUBIWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Mbona kesi yake ya msingi haijaanza hata kusikilizwa, siku aliyoitwa alienda akaweka pingamizi kuwa kile chombo kinachomsikiliza hakina mamlaka maana kinatumia kanuni ambazo hazijasajiriwa Baraza la Michezo.

Wanachokuja kutoa ni ruling ya pingamizi lake then waendelee na kesi ya msingi.
 
Utapata manufaa gani kwa kufungiwa kwake?
Tatizo la huyo white hana uungwana, unaweza ukawa una ubinadamu kwa kumuombea mambo mazuri ikiwemo na swala la kutofungiwa ili aendelee kulisha familia yake

Lakini manara huyo huyo amekuwa mstari wa mbele kuwaombea watu wengine wapoteze ajira zao. Na sometimes amekuwa akijitokeza direct kwa maboss wa mtu husika kumshikiza amfute kazi muajiri wake.

Wakati Shafiidauda kafungiwa na TFF manara alishangilia na kupiga vijembe Lakini alipokutana na ile kashfa ya kumtukana Karia, Shafii dauda alisimama na manara na kumpa ushauri wise kabisa wa kuomba msamaha.
 
Back
Top Bottom