Elections 2010 Kibwagizo cha kura alizokataa kikwete kinaboa!

Hivi jamani watu wengine mbona wanachafua JF? Au unataka kufanya watu tusifungue JF the home of Great thinkers? E bana usituchefue tena tafadhali, kama hujui hisabati usirudie kutoa uchafu awko hapa ok.
Umeniharibia siku mzee.
 
Hivi wewe hizi pumba ulizomwaga hapa zinaashiria kuwa husomi contributions za wenzako kabla ya kuchafua hali ya hewa?

Jina lako linaashiria kwamba u mwanamke! Binafsi naamini wanawake wanafikiria b4 ya kuongea! Contribution zipi unazosema msichana?! Hizo contribution za Sh. 315,000 x 400,000?! That is rabish coz' am free thinker na sio mtu wa kukurupuka na kuongea11 Angalia hisabati zilizopigwa na wenzako? Eti mshahara kwa mwaka ni 315,000 x400,000x12!!! Kwani mishahara ipo flat?! Wewe kama una-copy na ku-paste kichwani, mimi huwa na-digest!
 
Mkuu don't tell me you are not Tambwe Hiza or atleast a person working with him at his propagation unit


Ina maana na wewe unakubaliana na hizo hesabu za 315,000 x400,000x12 ?! Ina maana KCC ikiwa Sh.315,000 salary scale itakuwa flat? Yaani mpika chai atalipwa 315,000 na makatibu 315,000? Kweli tuna safari ndefu!!!
 

MPWA umetukana sana na mimi sina budi kukuridhisha kwamba mimi ni juha kweli kweli, nisiyefahamu A wa Be!! Hata hivyo, nambo tujadili kwa kituo hicho kipengele nilichoki-highlight kwa rangi kisha tuambizane kimya kimya ni nani mbumbumbu kati yangu na wewe!!!!
In short sina mengi ninayofahamu kuhusu serikalini lakini huwa sikurupuki na kuandika.
According to Tangazo la Kazi lililokuwa limetolewa na Sekretarieti ya Ajira ya Utumishi wa Umma (Daily News April 21,2010) nilikuta the Lowest Grade ni Grade TGOS. A( ambayo salary scale yake ni btn TZS. 104,410 to TZS. 146,570). Grade hii inachukuwa watu kama wasaidizi wa ofisi(wapika chai, wafagizi, and the like) na walinzi! Likewise, fresh graduates wanaanza na Grade D (for non science oriented graduates) ambayo salary yake ni Sh.324,260/= hadi TShs. 401,880) na Grade E (for science oriented graduates) ambayo salary yake ni TZS 408,560/= hadi TZS 505,030! Ikumbukwe, hizo ni grade za chini sana kwenye organization chat! Hivyo basi, tunaposema KCC iwe Sh.315,000/= maana yake ni kwamba Mhudumu wa ofisi alipwe Shs.315,000/=. So, ina maana viwango vingine vibaki vilevile like b4?! Jibu ni kwamba HAIWEZEKANI! Au hata kama vitabaki vilevile, hiyo mantiki ya flat rate ya 315,000/= inatoka wapi?! Jibu lake ni kwamba JF is no longer The Home of Greatest Thinkers, but The Home of Greatest as well as Shallowest Thinkers! Mimi nilinukuu maneno ya JK kwamba endapo KCC itakuwa Sh.315,000 basi bajet ya salary peke yake kwa mwaka itakuwa abt 6 Trilioni! Hesabu zako zinaonesha JK ni muongo kv at TSh. 315,000 plus benefits zinazoenda kwenye pension funds, bajeti ya salary itakuwa haifiki hata Sh. Trilioni 2 (kwa assumption kwamba Employees 400,000 @ 315,000/=!!!!!!!!) Ama kweli, wa-TZ tuna safari ndefu! Ikiwa nawe ni Greatest Thinker, yule aliye Shallowest Thinker atakuwaje?

Yeyote anayehitaji kutoa approximation zake kuhusu bajeti ya salary itakuwaje lazima aangalie yafuatayo!


  • · Kuna grades ngapi za mshahara and their corresponding salary values



  • · Kuna wafanyakazi wangapi kwenye kila Grade



  • · From 104,000 to 315,000 ni increase for abt 200%; kuwe na increase ya % ngapi kwa kila grade iliyosalia!

Ukishapata hayo majibu, ndipo unaanza kukokotoa and not as simple as taking 315,000(KCC) x 400,000(employees)x12(annual budget)!!


Mkuu, mimi na wewe hapo mbumbumbu ni nani? Kwa taarifa yako, sina interest yoyote kwa ama JK, CCM wala serikali yake! Sina ndugu hata mmoja aliye angalau kwenye midle level ama serikalini au CCM! And 2b straight 4wad, sina ndugu yeyote aliye kwenye nafasi yoyote ya uongozi ama serikalini au CCM! Mimi mwenyewe, wala sijui huyo JK anafananaje kv sehemu pekee ambayo nimewahi kumuona ni 4rm TV! Ktk uongozi wote wa CCM na serikali yake; nimewahi kukutana na Mh.Membe peke yake miaka kadhaa iliyopita (2004) and am sure 100% hata leo akiniona hawezi kunikumbuka! Hiyo kadi yenyewe ya CCM wala sijui inafananaje! Nimekupa maelezo yote hayo ili uone tofauti iliyopo kati yangu na wewe! Am sure, wewe unaoongelea ushabiki zaidi kv i guess una some interests na one of political part, in particular CHADEMA! utakuwa ama kiongozi, mwanachama au unafahamiana na wa2 wa huko! Pamoja na kujinadi kwamba hata ukinipa data sitaambua lolote; wewe mwenyewe umesha-prove ubovu wako! Next time, kabla hujaenda kwenye Excel na kufanya irrelavant calculations, unatakiwa kwanza ku-draw logical assumptions na sio kukurupuka na kuingiza minamba kwenye Excel b4 hujafanya reasoning yoyote!
 

Mkuu Gwakisa, sijatumwa na yeyote and am still firm 2 wht i said!!! Let's be honest banaa, nini hasa alitamka JK kama sio hicho nilichonukuu mimi? Nakumbuka vizuri mkuu, kichwa changu sio karai kiasi hicho! Hakusema hataki kura za w/kazi bali ikiwa sharti la kupata kura hizo ni kuwalipa KCC Sh.315,000/= basi ni heri wasimchague kv hicho kiwango hataweza kulipa! Ingekuwa wewe ungesemaje? Nichagueni na mkinichagua nitawalipa wakati unafahamu hutaweza kufanya hivyo? Achana na calculation za wakali wa hesabu wa primary waliokokotoa kwamba annual salary budget itakuwa 315,000x400,000x12!!!!! Najuaa hata kama ulipata F ya maths, bado utajuwa tu kwamba hizo ni calculation za kimbumbumbu kuliko zote nilizopata kuziona!!
 

Mzee wa Mjengoni; kidole na jicho bana! Nimesema ni Watanzania wachache sana walio waaminifu!!! Hata kama hutaki huo ndio ukweli wenyewe! Nayasema haya kwa uchungu na wala si kwa kuyaonea ufahari! Na wengi walio waaminifu hawajapata ule mwanya wa kweli wa kudhihirisha uaminifu wao! Inauma sana, lakini huo ndio ukweli wenyewe! Ninachosema mimi, tuachane na dhana kwamba wasio waaminifu ni wale walio CCM tu, bali hili ni gonjwa la wa TZ wengi!
 
 
kima cha chini mwaka jana 104,000 =usd100 (exchange rate of 1usd = 1000), mwaka huu 135,000 =usd90 (exchange rate of usd1 = 1,500). Ndiyo tusema serikali imepatisha mishahara ya watumishi toka usd100 to usd90. Hatudanganyiki!!! kura tutampa anayejali masilai yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…