Kibwana Shomari anahitajika sana kwaajili ya kazi maalumu dhidi ya Mpanzu na Kibu Denisi zaidi ya hapo wana Yanga tunabutuliwa

Kibwana Shomari anahitajika sana kwaajili ya kazi maalumu dhidi ya Mpanzu na Kibu Denisi zaidi ya hapo wana Yanga tunabutuliwa

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Nimejaribu kufanya tathmini juu ya uchezaji wa Simba vs uchezaji wa Yanga na aina ya wachezaji wa Yanga na Simba nimekuja kuona nguvu kubwa ya Simba katika mashambulizi itabebwa na wachezaji wawili ambao ndio wenye nguvu na upambanaji wa kiwango cha juu ambao ni Kibu Denis na Mpanzu. Hawa wachezaji ni wachezaji wanaoweza kupunguza idadi kubwa ya wachezaji na kukimbia kwa eneo kubwa la kiwanja hivyo inahitajika kulindwa na wachezaji wenye akili kubwa ya ukabaji na wenye uwepesi wa kurudi golini pindi inapopigwa counter attack. Kwenye derby iliyopita Yanga iliiruhusu sana Simba kuiingia langoni mwao katika kipindi cha kwanza.

Kwa vyovyote lazima. Simba watakuja na mkakati ule ule wa kucheza kwa kasi na kutafuta goli la kuongoza kama wachezaji wa Yanga hawatokuwa makini shughuli itaishia hapo hapo ila kama watawamudu katika eneo la ulinzi basi uwezekano wa Yanga kushinda utakuwa upande wao kwavile ina watu wengi wa kuamua mechi kuliko Simba ambayo inategemea zaidi watu wawili.

Hii mechi ni kijana kutoka Morogoro Kibwana Shomari anauwezo mkubwa wa kwenda na mtu bandi bandi. Kibu Denis huwa afurukuti kwa Kibwana Shomari hivyo hii derby ana stahili kuanza upande wa beki.
 
Nimejaribu kufanya tathmini juu ya uchezaji wa Simba vs uchezaji wa Yanga na aina ya wachezaji wa Yanga na Simba nimekuja kuona nguvu kubwa ya Simba katika mashambulizi itabebwa na wachezaji wawili ambao ndio wenye nguvu na upambanaji wa kiwango cha juu ambao ni Kibu Denis na Mpanzu. Hawa wachezaji ni wachezaji wanaoweza kupunguza idadi kubwa ya wachezaji na kukimbia kwa eneo kubwa la kiwanja hivyo inahitajika kulindwa na wachezaji wenye akili kubwa ya ukabaji na wenye uwepesi wa kurudi golini pindi inapopigwa counter attack. Kwenye derby iliyopita Yanga iliiruhusu sana Simba kuiingia langoni mwao katika kipindi cha kwanza.

Kwa vyovyote lazima. Simba watakuja na mkakati ule ule wa kucheza kwa kasi na kutafuta goli la kuongoza kama wachezaji wa Yanga hawatokuwa makini shughuli itaishia hapo hapo ila kama watawamudu katika eneo la ulinzi basi uwezekano wa Yanga kushinda utakuwa upande wao kwavile ina watu wengi wa kuamua mechi kuliko Simba ambayo inategemea zaidi watu wawili.

Hii mechi ni kijana kutoka Morogoro Kibwana Shomari anauwezo mkubwa wa kwenda na mtu bandi bandi. Kibu Denis huwa afurukuti kwa Kibwana Shomari hivyo hii derby ana stahili kuanza upande wa beki.
hakuna wa kumzuia mpanzu,kibu,mkwala na ahoua
 
Uko sahihi lakn pia umekosea Sana kuangalia Derby iliyo pita maana umeshidwa kuangalia some major factor zilizo sababisha yanga awe chini kwenye mchezo ule.

Sababu kubwa ni moja tu wachezaji karibia 8 wa kikosi cha kwanza wa yanga walikuwa kwenye majukumu ya kuwania kufuzu afcon kwenye mataifa yao.

Ki azizi,diarra na aucho walifika kikosini siku moja kabla ya mchezo na walitumia muda mrefu wakiwa safarini kwahy walikabiliwa na fatigue.

Upande wa Simba wachezaji wao wa kikosi cha kwanza ambao nao walimalizia mechi yao Dar siku nne kabla ya mechi ni kibu na zibwe tu.

Hii ni fact siyo porojo.
 
Muhimu tu wachezaji wa Yanga wasimuachie nafasi ya kukimbia na mpira huyo Kibu Denis na mwenzake Mpanzu. Yaani viungo na mabeki wetu wanatakiwa kukaba kwenye njia, na kucheza mpira badala ya kuwagusa na hivyo kusababisha faulo za mchongo.

Wakumbuke tu mchezaji kama Kibu Denis huwa anapenda sana kujiangusha.
 
FT: YANGA 1 -2 SIMBA...Magoli ya Simba yatafungwa kipindi cha Kwanza na goli la Yanga kipindi cha pili
 
Nimejaribu kufanya tathmini juu ya uchezaji wa Simba vs uchezaji wa Yanga na aina ya wachezaji wa Yanga na Simba nimekuja kuona nguvu kubwa ya Simba katika mashambulizi itabebwa na wachezaji wawili ambao ndio wenye nguvu na upambanaji wa kiwango cha juu ambao ni Kibu Denis na Mpanzu. Hawa wachezaji ni wachezaji wanaoweza kupunguza idadi kubwa ya wachezaji na kukimbia kwa eneo kubwa la kiwanja hivyo inahitajika kulindwa na wachezaji wenye akili kubwa ya ukabaji na wenye uwepesi wa kurudi golini pindi inapopigwa counter attack. Kwenye derby iliyopita Yanga iliiruhusu sana Simba kuiingia langoni mwao katika kipindi cha kwanza.

Kwa vyovyote lazima. Simba watakuja na mkakati ule ule wa kucheza kwa kasi na kutafuta goli la kuongoza kama wachezaji wa Yanga hawatokuwa makini shughuli itaishia hapo hapo ila kama watawamudu katika eneo la ulinzi basi uwezekano wa Yanga kushinda utakuwa upande wao kwavile ina watu wengi wa kuamua mechi kuliko Simba ambayo inategemea zaidi watu wawili.

Hii mechi ni kijana kutoka Morogoro Kibwana Shomari anauwezo mkubwa wa kwenda na mtu bandi bandi. Kibu Denis huwa afurukuti kwa Kibwana Shomari hivyo hii derby ana stahili kuanza upande wa beki.
wekeni wote wamkabe mpanzu,na wakati mnamkaba mpanzu kuna Ahou huku anawaliza muda wowote
 
Nimejaribu kufanya tathmini juu ya uchezaji wa Simba vs uchezaji wa Yanga na aina ya wachezaji wa Yanga na Simba nimekuja kuona nguvu kubwa ya Simba katika mashambulizi itabebwa na wachezaji wawili ambao ndio wenye nguvu na upambanaji wa kiwango cha juu ambao ni Kibu Denis na Mpanzu. Hawa wachezaji ni wachezaji wanaoweza kupunguza idadi kubwa ya wachezaji na kukimbia kwa eneo kubwa la kiwanja hivyo inahitajika kulindwa na wachezaji wenye akili kubwa ya ukabaji na wenye uwepesi wa kurudi golini pindi inapopigwa counter attack. Kwenye derby iliyopita Yanga iliiruhusu sana Simba kuiingia langoni mwao katika kipindi cha kwanza.

Kwa vyovyote lazima. Simba watakuja na mkakati ule ule wa kucheza kwa kasi na kutafuta goli la kuongoza kama wachezaji wa Yanga hawatokuwa makini shughuli itaishia hapo hapo ila kama watawamudu katika eneo la ulinzi basi uwezekano wa Yanga kushinda utakuwa upande wao kwavile ina watu wengi wa kuamua mechi kuliko Simba ambayo inategemea zaidi watu wawili.

Hii mechi ni kijana kutoka Morogoro Kibwana Shomari anauwezo mkubwa wa kwenda na mtu bandi bandi. Kibu Denis huwa afurukuti kwa Kibwana Shomari hivyo hii derby ana stahili kuanza upande wa beki.
No majeruhi
 
Hiii mech simba anashinda,mechi inaisha first half mapema tuu.
 
Muhimu tu wachezaji wa Yanga wasimuachie nafasi ya kukimbia na mpira huyo Kibu Denis na mwenzake Mpanzu. Yaani viungo na mabeki wetu wanatakiwa kukaba kwenye njia, na kucheza mpira badala ya kuwagusa na hivyo kusababisha faulo za mchongo.

Wakumbuke tu mchezaji kama Kibu Denis huwa anapenda sana kujiangusha.
Sasa akijiangusha si atapewa yeye kadi kwa kumhadaa refarii au huna imani na Arajiga anaweza kuweka penalty Kibu akijiangusha hivyo unamtaka Kayoko?
 
Back
Top Bottom