Kibwana shomari ni mchezaji asiyeimbwa lakini shughuli yake ni pevu

Kibwana shomari ni mchezaji asiyeimbwa lakini shughuli yake ni pevu

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Uyu bwana mdogo ni hazina ya taifa hapo badae akiendelea kujitunza vizuri, Ujio wa beki wa kimataifa Djuma shaban wengi tulijua tunakwenda kumpoteza uyu bwana mdogo lakini alituonyesha kuwa tunakosea kwani alikuwa na uwezo wa kuangalia fursa nyingine upande was kushoto na kufanikiwa kuwaweka benchi waliosajiliwa maalum kwenye iyo nafasi, Mechi ya leo ameonyesha ni kwa nini wembamba wa relí lakini treni inapita, Kucheza na mchezaji mjanja mjanja Kama morrison na kumuweka chini ya ulinzi mkali mpaka akahama nafasi sio jambo dogo, bado akaja sakho akagonga mwamba, wakaona aitoshi akaletwa Kibu denis naye mambo yakawa magumu na wakati huo mwamba wa Lusaka alikuwa keshatolewa nje, Kwangu Mimi uyu bwana mdogo alikuwa ndo man of the match,kaifanya kazi yake ipasavyo ukizingatia amekaa nje ya uwanja mda mrefu sana
 
Amna kitu yule dogo ana.cheza kwa fluku tu


Tutamuona ktk.mechi za CAF, mtakapo amzia preliminary stage kule ..kumbuka ni preliminary stage
 
Uyu bwana mdogo ni hazina ya taifa hapo badae akiendelea kujitunza vizuri, Ujio wa beki wa kimataifa Djuma shaban wengi tulijua tunakwenda kumpoteza uyu bwana mdogo lakini alituonyesha kuwa tunakosea kwani alikuwa na uwezo wa kuangalia fursa nyingine upande was kushoto na kufanikiwa kuwaweka benchi waliosajiliwa maalum kwenye iyo nafasi, Mechi ya leo ameonyesha ni kwa nini wembamba wa relí lakini treni inapita, Kucheza na mchezaji mjanja mjanja Kama morrison na kumuweka chini ya ulinzi mkali mpaka akahama nafasi sio jambo dogo, bado akaja sakho akagonga mwamba, wakaona aitoshi akaletwa Kibu denis naye mambo yakawa magumu na wakati huo mwamba wa Lusaka alikuwa keshatolewa nje, Kwangu Mimi uyu bwana mdogo alikuwa ndo man of the match,kaifanya kazi yake ipasavyo ukizingatia amekaa nje ya uwanja mda mrefu sana
Ahhaahhaa....Utopolo dah...haya tunamsubiri CAF naamini mtaanzia preliminary stage, hongereni kwa kuzuia maana tuliwapumulia sana second half dadekiiii..
 
Uyu bwana mdogo ni hazina ya taifa hapo badae akiendelea kujitunza vizuri, Ujio wa beki wa kimataifa Djuma shaban wengi tulijua tunakwenda kumpoteza uyu bwana mdogo lakini alituonyesha kuwa tunakosea kwani alikuwa na uwezo wa kuangalia fursa nyingine upande was kushoto na kufanikiwa kuwaweka benchi waliosajiliwa maalum kwenye iyo nafasi, Mechi ya leo ameonyesha ni kwa nini wembamba wa relí lakini treni inapita, Kucheza na mchezaji mjanja mjanja Kama morrison na kumuweka chini ya ulinzi mkali mpaka akahama nafasi sio jambo dogo, bado akaja sakho akagonga mwamba, wakaona aitoshi akaletwa Kibu denis naye mambo yakawa magumu na wakati huo mwamba wa Lusaka alikuwa keshatolewa nje, Kwangu Mimi uyu bwana mdogo alikuwa ndo man of the match,kaifanya kazi yake ipasavyo ukizingatia amekaa nje ya uwanja mda mrefu sana
Mwengine Bangala jamaa style yake kama Makelele, yaani kama hayupo ila shughuli si ya kitoto.
 
Back
Top Bottom