Kichaga na lugha za asili kaskazini kutoweka miaka kadhaa ijayo

Kichaga na lugha za asili kaskazini kutoweka miaka kadhaa ijayo

toplemon

JF-Expert Member
Joined
Mar 26, 2017
Posts
4,612
Reaction score
4,721
Za jioni humu JF

Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha miaka michache ijayo watapoteza lugha zao asili. Hapa nagusia haswa Wachaga na Wameru na waarusha

Hizi jamii hazipendi kufundisha watoto wao haswa wa kizazi hiki lugha ya asili na ni nadra sana kukuta watoto wa kichaga na kimeru na kiarusha wakiongea lugha yao kwa sasa

Nyumbani ni mwendo wa kuongeleshwa Kiswahili tu na baadhi ya wazazi Kiingereza

Hii ni tofauti na zamani katika jamii hizo, tutarajie miaka ijayo hiyo lugha yao kufa kabisa maana watoto hawafunzwi lugha zao za asili.

Kuna wajinga wengine wanadhani kujua lugha ya asili ni ushamba au ukabila vp kujua lugha za kigeni sio upagani wa kitamaduni?

Halafu why wachaga wengi hawaipendi lugha yao? Yaani hawapendi kuongea lugha yao sana huwa wanaona haya.

Kuna wengine hadi huwa wanajidai Waswahili hawataki wajulikane kama wanajua lugha yao.

Kuhusu watoto kutofunzwa lugha yao na kutoongeleshwa lugha yao Wachaga na Wameru na waarusha jiandaeni kwa anguko la kabila lenu miaka michache tu ijayo.

#sosad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipooana umeandika mkoa wa Moshi nikaacha kusoma kabisa uzi wako.
 
Mama na bibi angu waniongeleshe kiswahili labda siku iyo hawajanywa mbege, niekulia mjini maisha yangu yote ila kilugha change nakijua vizuri yote rwasababu nilivyokua mdogo nilikua naongeleshwa kilugha.
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Za jioni humu JF

Mikoa ya Moshi na Arusha miaka michache ijayo watapoteza lugha zao asili. Hapa nagusua haswa Wachaga na Wameru

Hizi jamii hazipendi kufundisha watoto wao haswa wa kizazi hiki lugha ya asili na ni nadra sana kukuta watoto wa kichaga na kimeru wakiongea lugha yao kwa sasa

Nyumbani ni mwendo wa kuongeleshwa Kiswahili tu na baadhi ya wazazi Kiingereza

Hii ni tofauti na zamani katika jamii hizo,tutarajie miaka ijayo hiyo lugha yao kufa kabisa maana watoto hawafunzwi lugha zao za asili

Kuna wajinga wengine wanadhani kujua lugha ya asili ni ushamba au ukabila vp kujua lugha za kigeni sio upagani wa kitamaduni?

Halafu why wachaga wengi hawaipendi lugha yao? Yaani hawapendi kuongea lugha yao sana huwa wanaona haya

Kuna wengine hadi huwa wanajidai waswahili hawataki wajulikane kama wanajua lugha yao

Kuhusu watoto kutofunzwa lugha yao na kutoongeleshwa lugha yao wachaga na wameru jiandaeni kwa anguko la kabila lenu miaka michache tu ijayo

#sosad

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio hayo yanakuja na kwa makabila yote tofauti ni wakati tu wengine leo na wengine kesho hakuna ujanja.
 
Baba yangu ni Mwarusha, Mama yangu ni Mchaga, nimezaliwa na kukulia Arusha, lakini ajabu ni kwamba nakijua kichaga(kimarangu) lakini kiarusha dooh!!, kwa kuongezea tu hapo baadhi ya waarusha nao siku hizi hawafundishi watoto wao pia.
 
Mama na bibi angu waniongeleshe kiswahili labda siku iyo hawajanywa mbege, niekulia mjini maisha yangu yote ila kilugha change nakijua vizuri yote rwasababu nilivyokua mdogo nilikua naongeleshwa kilugha.
Hongera sana japo ulikulia mjini lakini waijua luga yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baba yangu ni Mwarusha, Mama yangu ni Mchaga, nimezaliwa na kukulia Arusha, lakini ajabu ni kwamba nakijua kichaga(kimarangu) lakini kiarusha dooh!!, kwa kuongezea tu hapo baadhi ya waarusha nao siku hizi hawafundishi watoto wao pia.
Yaap ngoja niwaongezee hapo waarusha kwenye uzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Za jioni humu JF

Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha miaka michache ijayo watapoteza lugha zao asili. Hapa nagusia haswa Wachaga na Wameru.

Hizi jamii hazipendi kufundisha watoto wao haswa wa kizazi hiki lugha ya asili na ni nadra sana kukuta watoto wa kichaga na kimeru wakiongea lugha yao kwa sasa

Nyumbani ni mwendo wa kuongeleshwa Kiswahili tu na baadhi ya wazazi Kiingereza

Hii ni tofauti na zamani katika jamii hizo, tutarajie miaka ijayo hiyo lugha yao kufa kabisa maana watoto hawafunzwi lugha zao za asili

Kuna wajinga wengine wanadhani kujua lugha ya asili ni ushamba au ukabila vp kujua lugha za kigeni sio upagani wa kitamaduni?

Halafu why wachaga wengi hawaipendi lugha yao? Yaani hawapendi kuongea lugha yao sana huwa wanaona haya.

Kuna wengine hadi huwa wanajidai Waswahili hawataki wajulikane kama wanajua lugha yao.

Kuhusu watoto kutofunzwa lugha yao na kutoongeleshwa lugha yao Wachaga na Wameru jiandaeni kwa anguko la kabila lenu miaka michache tu ijayo

#sosad

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kabisa pia kumbuka hakula lugha ina itwa kichaga bali kuna Kimachame, Kiuhuru? Kimarangu, Kirombo, n.k. Zaidi zaidi wachaga wanaolewa sana na makabila mengine hasa Kanda ya Ziwa hivyo ni kweli watapoteza asili yao soon!
 
Back
Top Bottom