Kicheche -Msanii wa Vichekesho

Kicheche -Msanii wa Vichekesho

Dr Restart

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
4,949
Reaction score
24,046
Wasalaam Wakuu.

Kila leo ubunifu wa aina mbalimbali jinsi wasanii wanavyowasilisha kazi zao kwa hadhira inazidi kuongezeka.

Kuna Msanii maarufu kwa jina la 'Kicheche', ana namna yake ya kipekee ya uwasilishaji. Kiukweli anajitahidi sana na watu wengi wanamuelewa.

Amefanya aina nyingi za kazi zake, ila baadhi za zilizonikosha ni 'Mwajuma Komwe', 'Mbwa Baba Mkwe' na 'Upwiru Unanikaba Koo'.

Ana kibwagizo chake cha 'Mbwa Mimi, kumbafu zako'. Na kicheko chake kinachochekesha.

Ukimuangalia bila kucheka basi tambua kiwango chako cha Stress kipo juu sana na unahitaji usaidizi wa Wataalam..

 
 
Wasalaam Wakuu.

Kila leo ubunifu wa aina mbalimbali jinsi wasanii wanavyowasilisha kazi zao kwa hadhira inazidi kuongezeka.

Kuna Msanii maarufu kwa jina la 'Kicheche', ana namna yake ya kipekee ya uwasilishaji. Kiukweli anajitahidi sana na watu wengi wanamuelewa.

Amefanya aina nyingi za kazi zake, ila baadhi za zilizonikosha ni 'Mwajuma Komwe', 'Mbwa Baba Mkwe' na 'Upwiru Unanikaba Koo'.

Ana kibwagizo chake cha 'Mbwa Mimi, kumbafu zako'. Na kicheko chake kinachochekesha.

Ukimuangalia bila kucheka basi tambua kiwango chako cha Stress kipo juu sana na unahitaji usaidizi wa Wataalam..

View attachment 2552343
Duuh tunatofautiana sana
 
Hakuna msanii pale , cheche tupu , Kwa hao underground wanaojitahd ni Clam vevo Kwa mbali some how dogo anaumiza kichwa
 
Hakuna msanii pale , cheche tupu , Kwa hao underground wanaojitahd ni Clam vevo Kwa mbali some how dogo anaumiza kichwa
Hata clam mwenyewee sijawahi muelewaa kabisaa.
 
Kicheche is good, Pia kuna itsDulla wote ni new gene usiwa-judge kwa clip moja wafuatulie
 
Hakuna msanii pale , cheche tupu , Kwa hao underground wanaojitahd ni Clam vevo Kwa mbali some how dogo anaumiza kichwa
Kuna vitu clam akirekebisha atafika mbali.

Ila vichekesho vya kitito aache.

Anajua kuvaa uhusika hasa kwemye issue serious,nadhani kuchekesha kama sio pake hivi,huwenda movie za kawaida ndio zinamfaa zaidi
 
Back
Top Bottom