Kichefuchefu kwa Mwanaume

Dvanjoh

Member
Joined
May 9, 2016
Posts
56
Reaction score
10
Habari wanjamii..naombeni msaada wenu,nasumbuliwa sana na hali ya kichefuchefu hususani nikiwa ndani ya daladala na baada ya kula,nimetumia dawa mbalimbali bila mafanikio,naombeni msaada..Mimi ni WAKIUME.
 
Habari wanjamii..naombeni msaada wenu,nasumbuliwa sana na hali ya kichefuchefu hususani nikiwa ndani ya daladala na baada ya kula,nimetumia dawa mbalimbali bila mafanikio,naombeni msaada..Mimi ni WAKIUME.

Kaka minyoo hiyo, tafuta dawa za minyoo, kisha achana na makachumbali ya hovyohovyo
 
Habari wanjamii..naombeni msaada wenu,nasumbuliwa sana na hali ya kichefuchefu hususani nikiwa ndani ya daladala na baada ya kula,nimetumia dawa mbalimbali bila mafanikio,naombeni msaada..Mimi ni WAKIUME.
Dah....Umejaribu kupanda taxi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…