Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Sio minyoo??Sinywi pombe
Labda nijaribu kunywa dawa ya minyooSio minyoo??
Mara ya mwisho kumeza dawa za minyoo ilikua lini?Labda nijaribu kunywa dawa ya minyoo
Una mimba? Morning sicknessWadau
Mimi ni dume ila huwa natambua kupata kichefuchefu baadhi ya masiku ila sio sana lakini leo kimenijaa sana hivi tatizo linaweza kuwa nini?
Je linaweza kufanya vidonda vya tumbo
Mapenzi nina miezi sijaweka kwa hewa je linaweza kuwa tatizo?
Msaada wadau
Kuna zile za kupitisha majumbani nakumbuka nilikuwa mwezi wa 9Mara ya mwisho kumeza dawa za minyoo ilikua lini?
Mie dumeUna mimba? Morning sickness
Inainahusu Nini hii?Pima UPT
Kumbe🤣🤣Mie dume
Yao ndio maana nimekuja leo pia nimeamka nachoKumbe🤣🤣
😀Miili imeendanaNimesoma nimeanza jihisi Nami kichefuchefu...daa
Tutafika kibo pamoja😀Miili imeendana
Hilo ndio lengo kuuTutafika kibo pamoja
Tutafika kibo pamoja
Sawa wangu...tuiset mind kwanzaTutafute dawa pamj
Mtatongozana kisha mhamie PM! Nchi ngumu sana hiiSawa wangu...tuiset mind kwanza