bet master
Senior Member
- Sep 5, 2014
- 101
- 23
ooh k bas ntaitafutanilidhani ni ke, ila jaribu nosic ni dawa nzuri.
Niliitumia nilivyokuwa mama kijacho na ilinipa matokeo mazuri.
Kichefu chefu kiliacha na nikawa nakula kama kawaida
Ulipima mkojo mkuu, samahani though umesema umepima magonjwa yote ni negative
mkojo si ndiio mambo ya UTI hayo sina mkuu
siku ya nne leo nakunywa hzo dawa mkuuokey mara ya mwisho kunywa dawa za minyoo ni lini?
siku ya nne leo nakunywa hzo dawa mkuu
umemtaarifu mumeo au hawara wako ?
ooh sawa mkuu ntajaribuOoops basi jaribu Vitamin B vyaweza kukusaidia
mbna nmeshasema mi ni me mume anatoka wapi tena?