Kichekesho UVCCM na vijana kama hao kum-admire Captain Ibrahim Traore

Kichekesho UVCCM na vijana kama hao kum-admire Captain Ibrahim Traore

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
368
Reaction score
556
Wanabodi kuna sehemu nimekuta watu wanaponda kuteuliwa kwa mzee wetu Wassira katika nafasi nyeti ya chama

Nikajiuliza vipi unaweza kupata kijana mwenye maono ya kuwa kiongozi,ikiwa wote fikra zao ni matumbo yao kiasi wameharibika hata wale tuliosema wame elimika(kwa vyeti)...bado hawana ujasiri tena wa kujenga hoja,kusimamia wanachokiamini ambazo ni kati ya sifa za mtu alieelimika

Hawa wana ujasiri wa kumsifia Ibrahim Traore mbele za wajukuu zao huko baadae?

Sisemi watu wafanye mapinduzi ya kijeshi...lakini kwa karma na uwezo binafsi kila kijana alivyojaaliwa tulipaswa kuwa huru kuamua mustakabali wa nchi yetu kesho na si kuangalia leo tuu...huko ni kufikiri kama nguruwe

Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti
 
Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti
Unataka waandamane? Unadhani mabadiliko ya kweli yanaletwa kwa kuandamana? Cha kufanya umri wa kustaafu upunguzwe, serikali iangalie namna ya kuwapatia ajira vijana

Bora wafanye (diversification of economy) ili fursa zionengezeke.. vinginevyo kuna siku patachimbika hapa
 
Baada ya kumuona traorè na kupata stry yake kidogo, ushakuwa mtu unayewaza kupindua nchi. Anza wewe kupindua tuone utafikia wapi? Pindua kama traorè maana sijui umejua imetokeaje. Na je! Sijui umejua umri na ranking yake na kwanini si ranking za juu yake. Unadhani kupindua maana yake kupigana vta au kuua raisi. Jaribu unachowaza au rudi tena fatilia story ya huyo kijana kwanini yupo nafasi hiyo.
 
Unataka waandamane? Unadhani mabadiliko ya kweli yanaletwa kwa kuandamana? Cha kufanya umri wa kustaafu upunguzwe, serikali iangalie namna ya kuwapatia ajira vijana

Bora wafanye (diversification of economy) ili fursa zionengezeke.. vinginevyo kuna siku patachimbika hapa
Boss hii diversification of economy yako, umelenga kumaanisha nini?
Kwani Tanzania wako single economy au ni broad range kwanza? Tueleweshe
 
Wanabodi kuna sehemu nimekuta watu wanaponda kuteuliwa kwa mzee wetu Wassira katika nafasi nyeti ya chama

Nikajiuliza vipi unaweza kupata kijana mwenye maono ya kuwa kiongozi,ikiwa wote fikra zao ni matumbo yao kiasi wameharibika hata wale tuliosema wame elimika(kwa vyeti)...bado hawana ujasiri tena wa kujenga hoja,kusimamia wanachokiamini ambazo ni kati ya sifa za mtu alieelimika

Hawa wana ujasiri wa kumsifia Ibrahim Traore mbele za wajukuu zao huko baadae?

Sisemi watu wafanye mapinduzi ya kijeshi...lakini kwa karma na uwezo binafsi kila kijana alivyojaaliwa tulipaswa kuwa huru kuamua mustakabali wa nchi yetu kesho na si kuangalia leo tuu...huko ni kufikiri kama nguruwe

Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti
CCM ndio tatizo la Tanzania.
 
Kuna watu wanataka kumjua mungu ila kumjua shetani hawataki ila wanafanya ya shetani.
 
Wanabodi kuna sehemu nimekuta watu wanaponda kuteuliwa kwa mzee wetu Wassira katika nafasi nyeti ya chama

Nikajiuliza vipi unaweza kupata kijana mwenye maono ya kuwa kiongozi,ikiwa wote fikra zao ni matumbo yao kiasi wameharibika hata wale tuliosema wame elimika(kwa vyeti)...bado hawana ujasiri tena wa kujenga hoja,kusimamia wanachokiamini ambazo ni kati ya sifa za mtu alieelimika

Hawa wana ujasiri wa kumsifia Ibrahim Traore mbele za wajukuu zao huko baadae?

Sisemi watu wafanye mapinduzi ya kijeshi...lakini kwa karma na uwezo binafsi kila kijana alivyojaaliwa tulipaswa kuwa huru kuamua mustakabali wa nchi yetu kesho na si kuangalia leo tuu...huko ni kufikiri kama nguruwe

Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti
Ujana wa Ibrahim Traore haumaanishi nyuma yake hakuna WAZEE.....

Vijana wa UVCCM walitoa taswira njema kuwa wazee wanaweza kuwa MBELE ama NYUMA ya vijana.......
 
Ujana wa Ibrahim Traore haumaanishi nyuma yake hakuna WAZEE.....

Vijana wa UVCCM walitoa taswira njema kuwa wazee wanaweza kuwa MBELE ama NYUMA ya vijana.......
Walikuambia hivyo!? Au unewajazia maneno
 
Baada ya kumuona traorè na kupata stry yake kidogo, ushakuwa mtu unayewaza kupindua nchi. Anza wewe kupindua tuone utafikia wapi? Pindua kama traorè maana sijui umejua imetokeaje. Na je! Sijui umejua umri na ranking yake na kwanini si ranking za juu yake. Unadhani kupindua maana yake kupigana vta au kuua raisi. Jaribu unachowaza au rudi tena fatilia story ya huyo kijana kwanini yupo nafasi hiyo.
Mapinduzibsio lazima yawe ya mtutu...kunaa mapinduzi ya fikra...unafikiri nje ya box...wakati mwingine mfumo fulani unaweza usitupe majibu...haimaanishi hatuwezi fikiria namna nyingine
 
Unataka waandamane? Unadhani mabadiliko ya kweli yanaletwa kwa kuandamana? Cha kufanya umri wa kustaafu upunguzwe, serikali iangalie namna ya kuwapatia ajira vijana

Bora wafanye (diversification of economy) ili fursa zionengezeke.. vinginevyo kuna siku patachimbika hapa
Maandamano wapi imeandikwa ni dhambi?
 
Mapinduzibsio lazima yawe ya mtutu...kunaa mapinduzi ya fikra...unafikiri nje ya box...wakati mwingine mfumo fulani unaweza usitupe majibu...haimaanishi hatuwezi fikiria namna nyingine
Kama nyie wenyewe hata kijana akiwa kiongozi kupitia ccm mnasema anachumia tumbo, ana shobo. Mnataka vijana waende chadema wakaandamane barabarani. Unadhani kwa macho yako ya nyama utaona, ndoto za vijana hao?
 
Wanabodi kuna sehemu nimekuta watu wanaponda kuteuliwa kwa mzee wetu Wassira katika nafasi nyeti ya chama

Nikajiuliza vipi unaweza kupata kijana mwenye maono ya kuwa kiongozi,ikiwa wote fikra zao ni matumbo yao kiasi wameharibika hata wale tuliosema wame elimika(kwa vyeti)...bado hawana ujasiri tena wa kujenga hoja,kusimamia wanachokiamini ambazo ni kati ya sifa za mtu alieelimika

Hawa wana ujasiri wa kumsifia Ibrahim Traore mbele za wajukuu zao huko baadae?

Sisemi watu wafanye mapinduzi ya kijeshi...lakini kwa karma na uwezo binafsi kila kijana alivyojaaliwa tulipaswa kuwa huru kuamua mustakabali wa nchi yetu kesho na si kuangalia leo tuu...huko ni kufikiri kama nguruwe

Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti
Bora wasira kuliko vijana wa sisiemu!! Kwanini?
1. Wasira amezeeka hata akikosea jambo tutajua ni uzee(umri)
2. Wasira anaweza kuwa chawa, ila uchawa wake hauwezi kufikia vijana wa CCM, rejea mifano ya vijana kama musiba, jokate, happy, nk
 
Wanabodi kuna sehemu nimekuta watu wanaponda kuteuliwa kwa mzee wetu Wassira katika nafasi nyeti ya chama

Nikajiuliza vipi unaweza kupata kijana mwenye maono ya kuwa kiongozi,ikiwa wote fikra zao ni matumbo yao kiasi wameharibika hata wale tuliosema wame elimika(kwa vyeti)...bado hawana ujasiri tena wa kujenga hoja,kusimamia wanachokiamini ambazo ni kati ya sifa za mtu alieelimika

Hawa wana ujasiri wa kumsifia Ibrahim Traore mbele za wajukuu zao huko baadae?

Sisemi watu wafanye mapinduzi ya kijeshi...lakini kwa karma na uwezo binafsi kila kijana alivyojaaliwa tulipaswa kuwa huru kuamua mustakabali wa nchi yetu kesho na si kuangalia leo tuu...huko ni kufikiri kama nguruwe

Tujitafakari vijana...Kenya walau walionesha kitu cha tofauti

View: https://x.com/CaptaineIB/status/1883920678493249821
 
Back
Top Bottom