Kichwa cha Habari Gazeti la Mwanaspoti lenye Mhariri Mkuu mwana Yanga SC limemaliza Ubishi Makundi CAFCL

Kazi Unayo kaka , Si Bure.

Kama Mtu anakulipa Hakika unaitwndea Haki kazi yako.

HAIWEZEKANI Kila Baada ya Dakika Tano upo na Uzi mpya.

: UNGEWEZA kumtaja muhariri kwa Faida ya wengine.
: UNGEWEZA pia ku attach picha ya GAZETI kwa Niaba ya Matomaso.

HAKIKA JFF INA KAZI
 
Nakubaliana na wewe. Kuongea mara nyingi kuhusu kitu kimoja kunashusha ubora wa habari yako.
 
Mwezi mchanga
 
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Kimesema.....

Yanga SC Mtegoni na Simba SC ishindwe yenyewe CAFCL

Yaani Yanga out Simba kupeta Oky?

Kazi ipo na mnayo Kudadadeki zenu.
Ila wewe jamaa hizi hoja mfu unazitoaga wapi? Kwaiyo gazeti la mwanaspoti ndio litaenda kucheza na wapinzani wa yanga?
 
Maana yake ni Yanga wamepata kundi gumu ila Simba wamepangwa na vilaza, Simba wakishindwa kupenya itakuwa ni aibu kubwa sana kwa taifa
Kwahiyo mnaomba / unaomba tubadilishane au? Hivi Kichwani mwako zikiwa zinakutosha kabisa unaweza kusema kuwa katika hatua ya 16 Bora ( Makundi ) haya kuna Kundi Mchekea na kuna Kundi Gumu?

Halafu GENTAMYCINE nikiwa nawadharau Kutwa hapa kuwa hamna Akili mnakasirika.

Haya kwa Niaba ya wana Yanga SC Wenzako mnaolialia kuwa mmepangiwa Kundi Gumu ( la Kifo ) jana CAFCL tuambieni nyie mlikuwa mnataka / mnaomba mpangiwe na akina nani hasa ili mridhike na mfurahi?
 
Ila wewe jamaa hizi hoja mfu unazitoaga wapi? Kwaiyo gazeti la mwanaspoti ndio litaenda kucheza na wapinzani wa yanga?
Nina allergy ya Kujibu Maswali ya Kipumbavu na yatokayo kwa Wapumbavu vile vile.
 
Mtoa mada mpuuzi forever
ANGALIZO

Ukijijua tu HUMPENDI na UNAMCHUKIA mno GENTAMYCINE na HUMKUBALI wala HUVUTIWI na MADA ( THREADS ) zake Kutwa hapa JamiiForums cha kufanya ni KUACHANA nae au MBLOKU ( IGNORE ) na endelea KUWASOMA MEMBERS wako ambao UNAWAPENDA, UNAWAKUBALI na unawaona ni BORA KWAKO na uniachie / uwaache wale MEMBERS Wanaonielewa waendelee KUHABARIKA, KUELIMIKA na KUBURUDIKA nami hapa JamiiForums.

Kitendo cha Kujijua huwa HUNIPENDI, HUNIKUBALI na HUVUTIWI na UWASILISHAJI Wangu hapa JamiiForums halafu bado tena UNAWASHWAWASHWA nami kama MBWA JIKE anayetaka KUPANDWA kunaonyesha kuwa UNANIKUBALI ( UNANIPENDA ) hadi KUMOYO na huku KUNICHUKIA Kwako ni KUZUGA tu.

Na bahati nzuri au mbaya nikianzisha MADA ( THREAD ) hapa huwa SIMUITI au SIMLAZIMISHI Mru Kusoma hivyo sitaki SHOBO za ki MAGOMENI MAPIPA KWA MACHENI.

Nimemaliza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…