Kichwa cha Treni Kitabadilika kuwa hivi?

Kichwa cha Treni Kitabadilika kuwa hivi?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
901
Reaction score
1,742
28F3428E-54A6-45E4-A50E-C244BD29D1B9.jpeg
Kueni watulivu jamani pengine ni uchovu wa safari kikipumzika kitakua kama hivi
 
Lile ni scrapper limeletwa, lina kutu kibao.

Kwa wale waliokuwepo miaka ya 90 mtakumbuka Magomeni kulikuwa na sehemu inauzwa magari used maarufu kama JABA. Sifa kuu ya magari ya Jaba ni kuwa mikweche, linapigwa rangi na kuuzwa.

Sasa itakuwa mawakala wa serikali yetu pendwa ya Vijipesa kidogo walienda shopping ya kichwa kwenye Jaba ya Uturuki.

Hii yote ni athari ya kuwekana kwenye wadhifa kwa kujuana bila kuangalia ufanisi. Ukute aliyekwenda kukagua kichwa kabla ya kununuliwa ni msomi wa mambo ya mimea. Hana hata idea ya anachokagua.

Tena mi tanzania inavyoendekeza uchi, ukute alipofika huko alipewa kibinti kimoja laini, akatia sahihi na taulo akiwa hotelini bila hata kuona alichoenda kagua.
 
Mleta Tafadhali Weka Pictures Nyingi Tuwasaidie Kuchagua
Hawa Wetu Hawatachelewa Kutuletea Locomotive La Kuweka Kuni
 
Wakati mwingine nikifuatilia maoni ya wabongo wenzangu, huwa sishangai kwa nini hadi leo tumekuwa watumwa wa CCM...

Watu hawana muda na kutafakari kabisaaaaaa...

Ushaambiwa kichwa kimeletwa kufanya majaribio ya vitu kadha wa kadha, kucheck kama reli inaweza support desired top speed, kucheck mifumo ya mawasiliano kama inafanya kazi sawa, kiwango cha umeme n.k., lakini bado kuna watu wamekomaa kuona kama hicho kichwa ndio prototype...

Yaani mtu hata hajiulizi, kama hiyo locomotive ndio itayopiga mzigo mbona kije kichwa tu na hakuna mabehewa?

Ukiachana na hilo, hivi kweli kipokelewe kichwa kitachopiga mzigo safari zikianza, halafu CCM wasiandae hata sherehe za kupokea kichwa hicho? Yaani si tungemuona Samia kaweka maturubai hapo bandarinkama wanavyofanya kwenye upokeaji wa ndege...
 
Wakati mwingine nikifuatilia maoni ya wabongo wenzangu, huwa sishangai kwa nini hadi leo tumekuwa watumwa wa CCM...
All in all bado tutaletewa old fashion trust me! Hatuwezi kamwe kuletewa vyuma vya kisasa vinavyotrend huko kwao
Kumbuka speed jet fighters tulizoletewa na wavimba macho, zilikuwa tayari outdated kule kwao.. We are still their dampling site
 
Wakati mwingine nikifuatilia maoni ya wabongo wenzangu, huwa sishangai kwa nini hadi leo tumekuwa watumwa wa CCM...

Watu hawana muda na kutafakari kabisaaaaaa...
Kuna tatizo kubwa sana kiongozi, KUBWA SAAANA! Mi mwenyewe nilikuwa sijui km ni kubwa kiasi hiki hadi baada ya kufuatilia kwa karibu michango ya mada hii ya kichwa hicho cha treni.

Sasa hivi, sishangai tena wanaojifanyia chochote wanachotaka hao walioshika mamlaka. Sasa utafanya nn kwa wajinga km hawa zaidi ya kujiamulia vyovyote vile?

Mijitu imejaa ujinga ujinga tu muda wote, mkubwa anayefikiriwa kuwa ni great thinker anavamia mambo kilofa utafikiri ni katoto ka chekechea......ni mwendo wa kukurupuka tu; uharaka wa kuchamba na kupondaponda kila jambo umetangulia miles nyingi huko mbele huku matumizi ya akili yakiachwa mbali huko.
 
NI UJINGA AU NINI?

Kile ni kichwa cha mkandarasi is mali ya serikali hamsomi au kusikia?.

Mnaanzisha mada kitoto sana.
Mimi kwa akili zangu watoto ni wale waliodanganya kusema ni cha mkandarasi maana walijua wataulizwa yaani unatengeneza reli ya kisasa harafu unaleta chakavu ndio ifanye majaribio yepi kama sio uongo...kwa nini wasilete vyenyewe hata kwa kusubiri
 
Back
Top Bottom