KICHWA KINAUMA JAMANI.....naomba msaada!!!! si utani hata kidogo.

juma sal

Senior Member
Joined
Dec 18, 2011
Posts
156
Reaction score
88
Jaman sitanii ktk hili tafadhili kama unauelewa naomba ushauri wako...kama hujui pita zako tu
Nilikua na girl friend wangu miongoni mwa form six waliomaliza mwezi wa pili mwaka huu ktk shule flani hivi ya serikali.Tulikua mawasiliano kwa muda mrefu hivi mpaka ikafikia hatua nikatupa nyavu zangu nae akanasa vizuri kabisa na kua wapenzi lakini yeye akiwa shule iringa mm nikiwa chuo.Nilimuuliza historia yake kwny mahusiano akanijibua kua alikua bado na uschana wake(bikra) licha ya wanaume wengi kumtokea but yeye aliwatolea nje.Sasa kama mnavyojua mapenzi ya siku hizi nami nikaulizia mchezo akanikatalia kwasababu na hoja nyingi tu lakini nikazibomoa hoja zake zote kwa kutumia convicing power niliyonayo hatimae tulikubalia na kupanga siku ya gemu(hapo alikua ashamaliza shule nami niko likizo hivyo tulikua pamoja dar).Siku ya gemu sasa!!!!akaja geto kama kawaida zikaanza stor za hapa na pale mwisho nikaanza kupanda jukwaani sasa hapo ndipo kwny utata na panaponifanya kichwa kinauma!!!!wakati najaribu kuingiza iliingia kama naiingiza kwenye ndo tofauti na matarajio yangu kuhusu bikra lakini wakati nafanya hakukua na damu ila baada ya kumaliza nilizioona dam nyingi tu zimeharibu mashuka mpaka godoro!!Nilshangaa sana,ule uingiaji wa bila kipingamizi nikajiridhisha hakua bikra ila ile damu je ilitokawapi kama sio bkra?......kiukwl huyu bint hakuoneka muouga kama mabint wengine wenye bikra(nnauzoefu kidogo) ila kwa kesi hii ni utata.....naomba ushauri wako coz huyu binti nimemchunia toka siku hiyo kwa kua naamini amenidanganya sana ila bado sijiamini kwa msimamo wangu kutokana na utata ulijitokeza hapo juu.
 
Made in Taiwan hutoka hadi mvunguni mwa kitanda.

Made in Hondurus, inafika hadi kwenye godoro.

Made in China inachafua shuka tu.

Made in Kwamnyamanyi, inatoa kokoto, hiyo unatumia ukiwa karibu na site ya Ujenzi tu.
 
pole sana kwa maelezo yako inaonyesha huyo binti hakuwa na iyo bikira kama alivyo kueleza isipokuwa siku husika alikuwa pengine kwenye siku zake naye akaona atumie hiyo kama danganya toto kwako ,kwa maana mtu mwenye bikira anajulikana tu shuguli yake huwa pevu sana mpaka kufanya hilo tendo shukulu kwa kujua ukweli mapema
 
Condom ulitumia!!au ulijiaminisha na sill ukaingiza timu bila jezi!!!maana hizo damu mmmh!!
 
kwa utafiti wangu nimegundua unakibamia ambacho hakijakomaa....khaaa...yani uliingiza kama kwenye ndoo...?hii lazima uumwe kichwa sana....
 
kwa utafiti wangu nimegundua unakibamia ambacho hakijakomaa....khaaa...yani uliingiza kama kwenye ndoo...?hii lazima uumwe kichwa sana....

jamani preta mbona unamtisha hivyo kijana?
 
kwa utafiti wangu nimegundua unakibamia ambacho hakijakomaa....khaaa...yani uliingiza kama kwenye ndoo...?hii lazima uumwe kichwa sana....

ukiona hivyo yawezekana huyo dada naye ana baseni!!!kwa hiyo hata ukiwa na mkono utaelea tu!
 
kwa utafiti wangu nimegundua unakibamia ambacho hakijakomaa....khaaa...yani uliingiza kama kwenye ndoo...?hii lazima uumwe kichwa sana....

prets yaani umenichekesha mno........yaani utetezi wa ndoo ndiyo kumsagia mzee masharubu......kuwa ni kibamia...............na mbona kamliza hadi shuka zimelowa...........damu nyekundu kibao................lol
 
ukiona hivyo yawezekana huyo dada naye ana baseni!!!kwa hiyo hata ukiwa na mkono utaelea tu!

hizi sasa ni kashfa tupu..............mungu ametuumba bila kasoro tuache kukashifiana hivyo.........lol
 
damu ni uhai sasa mwenzetu mashaka ya nini? kwanza usi umesema unampenda huyo binti sasa mwili wake unakuwashia nini? wewe chukua mzigo wako na wewe ndiyo kwanza umemjeruhi mtoto wa watu sasa unataka kum'mwaga kwa madai kuwa mashine yake ni kama ndoo...................lol acha kashfa wajamani
 
Made in Taiwan hutoka hadi mvunguni mwa kitanda.

Made in Hondurus, inafika hadi kwenye godoro.

Made in China inachafua shuka tu.

Made in Kwamnyamanyi, inatoa kokoto, hiyo unatumia ukiwa karibu na site ya Ujenzi tu.

Hahaha yani umenichekesha mpaka basi.
I real enjoy your coments.
 
kwa utafiti wangu nimegundua unakibamia ambacho hakijakomaa....khaaa...yani uliingiza kama kwenye ndoo...?hii lazima uumwe kichwa sana....

Hahaha JF funga kazi yahitaji moyo kuomba ushauri unaweza jihisi wewe hauko sawa muda mwingine.
Kibamia !!!!
 
ni kwamba she was relaxed,ndio maana ukaingia kwa urahisi...sio wote wenye bikira nanii zao ni ndogo wengine za kawaida,halafu bikira sio kigezo cha kuwa na mwenza,wewe sema kama hujampenda....sio kumtafutia sababu.sioni kwa nini kuwa nayo ama kutokuwa nayo ndio iwe sababu ya kumuacha....grow up.
 
Sasa wewe ndugu yangu mi sijakuelewa, hivi ulimpenda binti kama binti au ulipenda bikra?
 
Haaaaa haaaaa case kama hizo zimetokea:

1. Ziku zake zilikuwa zinakaribia sana na tendo la kumuingilia lilitokea wakati huo huo siku zake zinapoonza

2. Inawezekana kwa ustadi mkubwa aliweka damu ya kuku. Nasikia wengi wanaodanganya wana kamchezo hako. Wanakatumia ama kuwaambia wapenzi wao wasiotaka kuwapa kuwa wako MP na wanavaa pads na wasipoamini hata kuwaonyesha pad kumbe ni damu ya kuku. Wengine kuwadanganya wapenzi wao kuwa wao ni bikira ili akiona damu aamini.

3. Huenda binti alikuwa bikira au hakuwa bikira. Kuwa Bikira maana yake hujaingiliwa na mwanaume. hata hivyo bikira ya mwanamke inaweza kuondolewa kwa sababu mbalimbali zikiwepo, michezo, maumbile, kujitia vitu ukeni nk nk.
 

Ushauri wako umenipa funzo pia
 


...hii damu ya kuku ni uzushi mtupu...yaani mtu apate trouble ya kununua kuku.kumchinja atoe damu yake ajipake....ili tu kuavoid mechi....ngumu kuamini.
 
...hii damu ya kuku ni uzushi mtupu...yaani mtu apate trouble ya kununua kuku.kumchinja atoe damu yake ajipake....ili tu kuavoid mechi....ngumu kuamini.

Jestina, this is not a joke and a matter of fact si uzushi. Wale mabinti wazoefu wa mjini they can tell you.

Kama alimdanganya kuwa ni bikira na amewanyima watu wanaume wote ni nini kigumu kumuaminisha mpenzi wake.

Nasikia damu ya kuku haigandi wala haina harufu kama ya ng'ombe. So jamaa kiktu kiliteleza but alipoona damu kachanganyikiwa hajui kama binti alikuwa BIKRA, au Siku zake au ni nini.

I know of 3 cases ambazo walitumia damu ya kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…