2 of Amerikaz most wanted
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 1,328
- 3,718
Kidada Jones na Tupac walikua na mahusiano ya kimapenzi yaliyodumu kwa muda mfupi tu mwaka 1996. Walikutana mwaka 1995, kwenye Club moja huko mjini Los Angeles na wakaanzisha uhusiano wa kimapenzi muda muda mfupi baadae.
Kidada alikuwa mbunifu wa mavazi na muigizaji pia Tupac alikuwa rapper na muigizaji nguli. Wote walikua wanaendana kwa vitu wanavyopenda pia hata malengo yao yalikuwa yanashabihiana kulingana na hizo kazi zao.
Mahusiano yao haya kukosa vikwazo na mitikisiko baada ya Tupac kuwa na historia ya kuwa mtata katika macho ya jamii. Baba yake Kidada alikuwa mwanamuziki nguli mstaafu Quincy Jones alikuwa na wasiwasi na mahusiano hayo kwa sababu ya tabia na sifa za Tupac(thug life).
Inasikitisha mahusiano hayo yalifika mwisho baada ya Tupac
kushambuliwa ghafa na kupigwa lisasi huko mjini Las Vegas mnamo mwezi wa tisa mwaka 1996. Kidada alivulugwa na kifo cha mpenzi wake Huyo kwa kuwa alikuwa na matokeo chanya katika maisha yake na yatasnia yake.
Kidada alikuwa mbunifu wa mavazi na muigizaji pia Tupac alikuwa rapper na muigizaji nguli. Wote walikua wanaendana kwa vitu wanavyopenda pia hata malengo yao yalikuwa yanashabihiana kulingana na hizo kazi zao.
Mahusiano yao haya kukosa vikwazo na mitikisiko baada ya Tupac kuwa na historia ya kuwa mtata katika macho ya jamii. Baba yake Kidada alikuwa mwanamuziki nguli mstaafu Quincy Jones alikuwa na wasiwasi na mahusiano hayo kwa sababu ya tabia na sifa za Tupac(thug life).
Inasikitisha mahusiano hayo yalifika mwisho baada ya Tupac
kushambuliwa ghafa na kupigwa lisasi huko mjini Las Vegas mnamo mwezi wa tisa mwaka 1996. Kidada alivulugwa na kifo cha mpenzi wake Huyo kwa kuwa alikuwa na matokeo chanya katika maisha yake na yatasnia yake.