ibrahimaly
Member
- Feb 1, 2013
- 19
- 0
WAKUU kuna tetesi matokeo ya kidato cha nn4 kutangazwa leo mchana,
pia inasemekana yatakua na kiwango cha ufaulu kikubwa kulinganisha na mwaka uliopita,
tukae mkao wa kula ubwabwa leo hiiiiiiiiii..
pia inasemekana yatakua na kiwango cha ufaulu kikubwa kulinganisha na mwaka uliopita,
tukae mkao wa kula ubwabwa leo hiiiiiiiiii..