ibrahimaly
Member
- Feb 1, 2013
- 19
- 0
kwa mujibu wa gazeti la mwananchi matokeo yatatangazwa wiki hii lakni sio leo..
chanzo mwananchi....
Kwani leo haipo kwenye wiki hii?
sio leo kuwa muelewa dogo...sio mpaka nitoe siri ya office...
WAKUU kuna tetesi matokeo ya kidato cha nn4 kutangazwa leo mchana,
pia inasemekana yatakua na kiwango cha ufaulu kikubwa kulinganisha na mwaka uliopita,
tukae mkao wa kula ubwabwa leo hiiiiiiiiii.
Kwani wanafunzi wote wakipata Div four point 34 si ufaulu utakuwa 100%
mambo mazuri haya itaji haraka madogo kitukipo nichenu kitatoka hivipunde.
sio leo kuwa muelewa dogo...sio mpaka nitoe siri ya office...
kwani wiki hii ina exclude leo!!!kwa mujibu wa gazeti la mwananchi matokeo yatatangazwa wiki hii lakni sio leo..
chanzo mwananchi....
kwa mujibu wa gazeti la mwananchi matokeo yatatangazwa wiki hii lakni sio leo..
chanzo mwananchi....