george de hero
Senior Member
- Jul 7, 2013
- 122
- 14
nadhani wakati umefika sasa moderators waanzishe jukwaa la watoto..........
nadhani wakati umefika sasa moderators waanzishe jukwaa la watoto..........
Hivi jaman inawezekana kweli kwa sisi form six..kurud ckul tena bila wadogo zetu wa kidato cha tano....nani atafanya usafi wa shule coz form six hana muda wa kupoteza tena akirudi ckul....!
nadhani wakati umefika sasa moderators waanzishe jukwaa la watoto..........
Tena kuwe na jukwaa la waliopata Div. IV na Zero.
Nakuunga mkono mkuu mods watengeneze jukwaa la watoto, kwa ajili ya kuiokoa JF.
Hivi jaman inawezekana kweli kwa sisi form six..kurud ckul tena bila wadogo zetu wa kidato cha tano....nani atafanya usafi wa shule coz form six hana muda wa kupoteza tena akirudi ckul....!