marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,019
- 1,824
Bifu zito linazidi kupambana moto kati ya Simba na Tff ya Kidau na karia.
Kuondolewa kwa wachezaji wa Simba kwenye kikosi cha timu ya taifa kinyume na sheria ndio sababu ya Bifu hilo, baada ya kidau kutangaza majina hayo ya wachezaji waliotemwa bado mgogoro unaendelea baada ya Kidau kuendelea kuwasema hovyo wachezaji waliotemwa.
Mvutano uliopo ni kuhusu kufuata utaratibu au kufuata sheria, viongozi wa Simba wanataka kufuata sheria na sio utaratibu aliojiwekea mtu, Amunike anataka aonekane ni mkubwa kuliko sheria? "aya ni maneno ya Wanasimba.
Sheria za soka zinasema,, mchezaji anamasaa 72 kutoka kwenye klabu yake na kwenda timu ya taifa, napia mchezaji anamasaa 24 kutoka timu ya taifa kwenda kwenye klabu yake,.
Pamoja na hayo yote, wanasimba nchini wamegoma kuisapot timu ya taifa na wataizomea popote pale itakapocheza mpaka Kidau na Amunike waanze kufuata sheria na sio utaratibu wanaojipangia na wake zao manyumbani mwao,.
Mashabiki wa Simba wameenda mbali zaidi kwa kumdai Golikipa wao Aishi Manula arudishwe na kama ataumia akiwa na timu hiyo basi wao awatahusika kumuuguza huku wakitolea mfano ilivyokuwa kwa Kapombe,. Ikumbukwe Kapombe aliumia ndani ya Taifa Stars lakini msala wa kumuuguza ulibaki kwa Simba wenyewe.
Kuanzia asubuhi ya leo baadhi ya mashabiki wameanza kuweka profile zao picha ya timu ya Uganda wakimaanisha watakuwa upande wa Uganda siku ya Tarehe 8 mwezi unaokuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuondolewa kwa wachezaji wa Simba kwenye kikosi cha timu ya taifa kinyume na sheria ndio sababu ya Bifu hilo, baada ya kidau kutangaza majina hayo ya wachezaji waliotemwa bado mgogoro unaendelea baada ya Kidau kuendelea kuwasema hovyo wachezaji waliotemwa.
Mvutano uliopo ni kuhusu kufuata utaratibu au kufuata sheria, viongozi wa Simba wanataka kufuata sheria na sio utaratibu aliojiwekea mtu, Amunike anataka aonekane ni mkubwa kuliko sheria? "aya ni maneno ya Wanasimba.
Sheria za soka zinasema,, mchezaji anamasaa 72 kutoka kwenye klabu yake na kwenda timu ya taifa, napia mchezaji anamasaa 24 kutoka timu ya taifa kwenda kwenye klabu yake,.
Pamoja na hayo yote, wanasimba nchini wamegoma kuisapot timu ya taifa na wataizomea popote pale itakapocheza mpaka Kidau na Amunike waanze kufuata sheria na sio utaratibu wanaojipangia na wake zao manyumbani mwao,.
Mashabiki wa Simba wameenda mbali zaidi kwa kumdai Golikipa wao Aishi Manula arudishwe na kama ataumia akiwa na timu hiyo basi wao awatahusika kumuuguza huku wakitolea mfano ilivyokuwa kwa Kapombe,. Ikumbukwe Kapombe aliumia ndani ya Taifa Stars lakini msala wa kumuuguza ulibaki kwa Simba wenyewe.
Kuanzia asubuhi ya leo baadhi ya mashabiki wameanza kuweka profile zao picha ya timu ya Uganda wakimaanisha watakuwa upande wa Uganda siku ya Tarehe 8 mwezi unaokuja.
Sent using Jamii Forums mobile app