mr gentleman
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,222
- 4,689
Ni shida siku hizi namwelewa sana.Nani kakisikia kidebe cha Dogo Janja?
Ni Hatari tupu.
ulikua jela mkuu?Nani kakisikia kidebe cha Dogo Janja?
Ni Hatari tupu.
hahahaaaa hujamzoea tuulikua jela mkuu?
Ngoma kali video pia nzur sema dgo kaniboa kwa kusem et anamzd uwezo young killer na dee hapo ndo kakoroga uji ambao hawez kunywaNani kakisikia kidebe cha Dogo Janja?
Ni Hatari tupu.
Kiki km za baraka princeNgoma kali video pia nzur sema dgo kaniboa kwa kusem et anamzd uwezo young killer na dee hapo ndo kakoroga uji ambao hawez kunywa
Amekuwa anafanya mziki wa kikubwa.Ni shida siku hizi namwelewa sana.
Ila mkuu mbona ngoma imetoka muda zaidi ya miez 3
Siku hizi sisikilizi sana bongo fleva labda nisikie wasafi wametoa wimboulikua jela mkuu?
Sure mkuu angeendelea na style yake ya mwanzo tungemsahau.Amekuwa anafanya mziki wa kikubwa.
nimeanza kuusikia siku hizi hizi
Huwa inatokea. Mi nilipatwa kama wewe, nilisafiri kidogo, huku nyuma Temba ft Dully nampenda yeye ikatoka, sina hili wala lile, nimerudi, nimeenda kusalimia jamaa, tupo sebureni, mara eatv wanaipiga, bila kujijua nikaropokwa: DAAH, TEMBA KATOA BONGE LA NGOMA! Kumbe ngoma ina miezi kama mi5!Hii inanikumbusha msiba wa Amina Chifupa nilikuwa nje sasa kurejea nimekaa napitia magazeti ya kitambo kwa sister nakuta Amina kaaga dunia nilishtuka kwa sauti haaa! Amina kafariki kila aliyekuwa jirani alinishangaa coz walikuwa hawajui kama sikuwepo na sikutaka kufafanua kwa nini sikujua
Hiyo kidebe ya mda kidogo mkuu sema ni wimbo mzuri sana audio na video zote dogo kajitahidi sana.
Dgo kweli ana kiki tena huyo baraka na uzungu wake cmfagliiKiki km za baraka prince
Dah, wee jamaa wa zamani kishenzi,Huwa inatokea. Mi nilipatwa kama wewe, nilisafiri kidogo, huku nyuma Temba ft Dully nampenda yeye ikatoka, sina hili wala lile, nimerudi, nimeenda kusalimia jamaa, tupo sebureni, mara eatv wanaipiga, bila kujijua nikaropokwa: DAAH, TEMBA KATOA BONGE LA NGOMA! Kumbe ngoma ina miezi kama mi5!
Duh kweli laiti tungekuwa tunaonana kumbe watu tunabishana tuna gombana na wadogo zetu humu.Dah, wee jamaa wa zamani kishenzi,
mi enzi hizo ndo kwaanza kinda
Ndio maana watu wenye umri mkubwa humu tunatakiwa tuongeze kuwa wastahmilivu kwa threads zinazoletwa na comments pia inafika mahala unajiuliza huyu mtu alieandika hapa yukoje?Duh kweli laiti tungekuwa tunaonana kumbe watu tunabishana tuna gombana na wadogo zetu humu.
Dah, hebu imagine mimi bado ni teenager...Duh kweli laiti tungekuwa tunaonana kumbe watu tunabishana tuna gombana na wadogo zetu humu.