Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Maisha yetu (watu wa level ya chini) yamekuwa hayatabiriki kabisa, hatuijui kesho yetu. Hata kula ni ya changamoto sana.
RAI YANGU:
Kidogo unachopata, hata kama ni kidogo, tumia kiasi then kitunze, kirundikane na vyenzie ili viisaidie kesho yako.
Kuna wakati mwanaume mzima unaamka huna hata 1,000 ya kupandia bajaji uingie maeneo ya mjini. Ni hatari sana kwa ustawi wa jamii.
RAI YANGU:
Kidogo unachopata, hata kama ni kidogo, tumia kiasi then kitunze, kirundikane na vyenzie ili viisaidie kesho yako.
Kuna wakati mwanaume mzima unaamka huna hata 1,000 ya kupandia bajaji uingie maeneo ya mjini. Ni hatari sana kwa ustawi wa jamii.